Pole sana kwa hili liliolokukuta hili ni moja ya mambo magumu kidogo ki binadamu hasa kwa mwanaume ushauri wangu ni huu jaribu kukaa na watu wazima wenye busara au wasimamizi wa ndoa yenu na uwaeleza haya yanayokusibu utasaidika na hili litaisha pole sana kwa hili nyakati ngumu zipo na hupita...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake. Wenyewe nadhani ajajua maana ya ndoa Ndoa ni kujaza pale kwa mwenzako palipopungua yaani mnatengemezana mnaimalishana hata mwisho hii sio sawa
Katika hii Dunia tunapita katika changamoto nyingi sana zingine hazielezeki hata kidogo lakini cha muhimu au ushauri wangu kwako ni ujifunze kumweleza Mungu kila hali inayokusibu yeye anakujua vema na anaweza kufanya kila kitu kama ilivyoandikwa 1Petro 5:7 mtwike Bwana Fadhaa zenu Zote maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.