Dr. Slaa lipumba wanatumika. Kama hujaamka ni kupigania HAKI. Hata rasimu ya warioba walioikataa ni CCM na wakampiga na makofi lakini leo hii wanamtumia. Wanatumika na CCM tunawajua Kuna Pole pole, ZZK, dr. Slaa, lipumba,. Na mwisho wa siku watafute pa kutokea
wewe kweli abunuas hadi akili zako kiabunuasi. unataka kusema watu wa arusha wote wavuta bangi hadi wazee? watu wa mbeya wavuta bangi (tigo ww abunuasi) subir tar 25 utagundua asilimia kubwa watanzania wote wamevuta bangi. very selfish CCM inawafanya vijana kuwa selfish kwa rushwa ndogo...
Kitila kama kweli ni wewe nahisi kabisa umethibitisha kuwa wewe ni ccm lakini naomba uache kuandika maneno mabovu kuhusu chadema maana maneno yako ni shombo. Sawa chadema kuna mapungufu na hiyo ni kawaida kwa viongozi wote kuwa na mapungufu. Naomba uende kwa amani ccm ya chadema hayakuhusu tena!
Waseme tu huyo zitto kaingia ccm rasimi maana ana mashabiki wengi wa kijani ambao wanataka kumchukua mazima. Mwanaharakati wa kweli ni yule anayepigania chama na wananch na siyo kutafuta umaarufu binafsi, kama ni mtego wa chama cha kijani umefeli waendelee kutapa tapa. M4c OPD baba lao tutafika...
Hili jamaa ---- sana unaongea pumba gani, imamu feki umemuona wewe tu kuwa ni feki, kwani waliomchagua kuwa imamu hawana akili ila we ndo una akili, unakubali uendelee kuongozwa na mafisadi kisa udini, elimu ikukomboe achana na udini
CHADEMA tunaishi bali tutapambana kesho na hata milele wengi wanaojifanya kutuonea huruma kuhusu zitto ni CCM( A.K.A KIJANI/NJANO) msiogope tupo njiani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.