Hapa Ifakara Kuna HAKIMU anaitwa Minja ni mwanamama mwenye dharau sana. Anawatangazia watu waje saa mbili asubuhi yeye anakuja saa 5 alafu akifika anakaa ofisini Hadi saa 9 ndio mnaanza kuitwa majina anahudumia mtu mmoja wengine wote mnapigwa tarehe nyingine.
Na muda ni uleule saa mbili na yeye...
Wakuu Leo nimetoka NSSF Morogoro baada ya tarehe 28/5 kujibiwa vibaya na muhudumu wa reception kuhusu mafao yangu ambayo sasa yanamaliza mwezi na nusu.
Baada ya kukomaa sana waliniambia meneja amesafiri! Leo nimerudi majibu ni yale yale. Je ni kweli meneja akisafri na ofisi haipo? Ikiwa rais tu...
Nimefungua madai ya kulipwa mafao yangu baada ya miezi 18, nimefungua tarehe 23/4/2026. Nilipofika nikaambiwa malipo ni ndani ya mwezi mmoja tu. Baada ya hapo tarehe 1/5 nikakopa kwa riba laki 3 ili niweze kujikimu na familia, nikiamini tarehe 1/6 ntakuja nimelipwa.
Cha ajabu tarehe 23/5...
Nssf wamekua wababaishaji sana hasa kwa watu wanaofuatilia mafao baada ya kuondolewa kazini.
Mimi ni muhanga wa jambo hili, nimeandika barua tangu tarehe 4/5/2026 branch ya Morogoro.
Ajabu ni kua wanasema barua Yako na kiapo havionekani kwa hiyo nitafute vingine.
Kabla nimekuwa nilipiga simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.