Recent content by mpndwa vivi

  1. M

    Wapi naweza kupata PH sensor ambayo ni arduino compartible hapa Tanzania

    nashukuru nilifanikiwa kupata kwa jamaa furani hivi Arusha, PH brobe (BNC connector) pamoja IC borad yake
  2. M

    Wapi naweza kupata PH sensor ambayo ni arduino compartible hapa Tanzania

    Wakuu samahani, ninafanya project ambayo inahusisha kutumia PH sensor kwa ajili ya kupima PH value katika maji, ila nimepata changamoto kupata hii sensor hapa kwetu Tanzania maana nina hitaji kwa haraka kiasi nimeshindwa kuagiza nje kwa kukwepa kusubiri
  3. M

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    ndugu waziri au kwa yyto mwenye kufaham kuhusu second batch vpi?
  4. M

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    duh!maana wale wa second round atujajiona mkuu,basi wasi wasi mwingi
  5. M

    Chuo Kikuu Dodoma, waliodahiliwa shahada ya kwanza 2014/15

    kwa anae faham second batch ya undergraduate yaweza toka lini
  6. M

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    watu wa computer engeneerig corage yao inaitwaje?
  7. M

    Mtu wa second selection anaweza kuchaguliwa kwanza?

    kwahyo tofauti ya first na second batch asa ni nini?
  8. M

    Uteuzi Wanafunzi wa vyuo Vikuu hadi Sept 22 -TCU

    kwa wale walio apply tcu second round na kuandikiwa yu have been selected, wamesha chaguliwa kwenye vyuo husika au la?
Back
Top Bottom