Wakuu samahani, ninafanya project ambayo inahusisha kutumia PH sensor kwa ajili ya kupima PH value katika maji, ila nimepata changamoto kupata hii sensor hapa kwetu Tanzania maana nina hitaji kwa haraka kiasi nimeshindwa kuagiza nje kwa kukwepa kusubiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.