Recent content by mpita_njia

  1. M

    Hot talk na tumboo live kuhusiana na kwanini wasichana wanang'ang'ania Ndoa

    What if akipata wa nje wa kumpa mpaka Mombasa a.k.a mtandao pendwa wa ti*o, naww utampa ili asitoke nje?
  2. M

    Naombeni msaada wa mawazo

    Kujamba c kitu cha kawaida? Kwa macho waweza gundua?
  3. M

    Naombeni msaada wa mawazo

    Kuna jinsi ya kumtambua mwanamke anayeliwa kinyume na maumbile bila ya yeye kuthibitisha?
  4. M

    Mbowe apata wapinzani zaidi

    Soma maelezo yangu vizuri mkuu. Nimesema CCM na CDM wana mifumo tofauti. Kwa CCM mgombea uraisi ndiye mkt wa chama bt CDM cyo hivyo
  5. M

    Mbowe apata wapinzani zaidi

    Kama cjadesa vibaya katiba ya CCM, nafasi ya m/kiti huwa haigombewi na mtu yeyoye bali anayeshinda kura za maoni kugombea uraisi ndiye anakuwa M/kiti wa taifa automatically tofauti na CDM nafasi hiyo inagombewa bt mgombea Uraisi huteuliwa. So please CDM msijifariji kwa kujicompare na CCM...
  6. M

    Mbowe apata mpinzani uenyekiti CHADEMA, ni Kansa Mbarouk

    Kila anayempinga Mbowe ni pandikizi. I like that theory
  7. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nina ndg yangu Musoma-Kinesi anataka kuja Mwanza. Kwa yeyote anayehitaji kubadilishana anicheki kwa pm
Back
Top Bottom