Serikali nayo iache kufisidi uchumi wa nchi. Kama wao wanatumia pesa hiyo kununulia magari yenye thamani kubwa sana ya hdi tsh. 500,000,000 kwa gari moja na wanatoa kwa kila waziri, kila katibu na manaibu katibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa taasisi za serikali...
Mtu mwenye akili nyingi namna hii mnawezaje kumkamata na kumfunga?
Kaeni nae anaweza kuwasaidia katika kuliendesha jeshi au sekta yoyote nchini. Tisikimbilie mitandaonii kumdhalilisha mtu kumbe huyo mtu ni wa maana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.