Recent content by Mpindo

  1. Mpindo

    Madini yenye thamani ya milioni 961 yakutwa yakitoroshwa

    Serikali nayo iache kufisidi uchumi wa nchi. Kama wao wanatumia pesa hiyo kununulia magari yenye thamani kubwa sana ya hdi tsh. 500,000,000 kwa gari moja na wanatoa kwa kila waziri, kila katibu na manaibu katibu wakuu, wakurugenzi, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakuu wa taasisi za serikali...
  2. Mpindo

    Nauza Eneo Langu Morogoro Mjini

    Loo! Huo mji ulivyo! Mji gani huo ndugu?
  3. Mpindo

    Mwendokasi pesa wanapeleka wapi?

    Miradi kama hiyo ndio iliyopaswa kutafuta muwekezaji mwenye uwezo na au ndio wangempa huyo DPWorld!
  4. Mpindo

    NHIF Ilala, kwanini hamtaki kutupatia kadi zetu za Bima?

    NHIF nashauri ibinafsishwe. Badala ya kubinafsisha vitu kama hivi, wanabinafsisha Bandari!
  5. Mpindo

    Kama hii ndio Bukoba International Bus Terminal, basi Kagera kuongoza kwa umasikini ni ukweli

    Wewe jamaa, Umemaliza Jiji la mbeya kuwasema vibaya na jiji lao, umehamia Kagera. Tuambie kesho utakuwa mji gani tujipange kuchangia!
  6. Mpindo

    SI KWELI Kuvaa nguo nyekundu kunasababisha kupigwa na radi

    Mkuu ahsante kwa Elimu hii ya bure. Nimeitafuta muda mrefu sikuipata. Ubarikiwe sana
  7. Mpindo

    SI KWELI Kuvaa nguo nyekundu kunasababisha kupigwa na radi

    Mkuu ahasante kwa elimu hii ya bure, nimeitafuta kwa miaka mingi kuijua. Barikiwa sana.
  8. Mpindo

    Maisha bila korodani (Testes) hayana umuhimu kwa ulimwengu huu wa familia

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  9. Mpindo

    Mambo machache niliyoyaona mkoa wa Geita

    Hata umasikini ambalo ni janga la nchi nao hujauona miaka yote hiyo?
  10. Mpindo

    Kampuni ya Sola ya Mysol ni Majambazi, Wananchi iogopeni kama UKIMWI

    Labda kwa kuwa uliachana nao tena kwa ubaya unataka kuwaharibia kwa wateja, who knows!
  11. Mpindo

    Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

    Halo Hongera kwa moyo wa kujitoa namna hii. Ni wachache sana wanafanya hayo ulofanya. Wengi wanataka kila mmoja akajionee mwenyewe! Ubarikiwe sana
  12. Mpindo

    Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

    Mtu mwenye akili nyingi namna hii mnawezaje kumkamata na kumfunga? Kaeni nae anaweza kuwasaidia katika kuliendesha jeshi au sekta yoyote nchini. Tisikimbilie mitandaonii kumdhalilisha mtu kumbe huyo mtu ni wa maana!
Back
Top Bottom