ChoiceVariable unajihangaisha bure , Mwanza ni Jiji kubwa hapa TZ lina Manispaa mbili , utahangaika sana na kupost sana project za serikali , Mwanza hawategemei serikali , ngoja nikupe mfano : kwanza Brazil mji mkuu wao ni Brasilia umejengwa kiserikali ila maisha yapo Rio de Janeiro na Sao Paulo...
Jana kwenye mkutano na wafanyabiashara Kariakoo , Waziri Mkuu kamaliza hili , kataja majiji yote , hakuitaja Dodoma [emoji23][emoji23][emoji23]. Dodoma ni kimji tu , labda washindane na Kahama huko
Mwanza imekuwa major city hapa Tanzania kwa muda mrefu , so kuilinganisha na Dodoma ambayo imepewa hadhi ya city politically sio sawa, Mwanza shughuli zake kiuchumi zinaibeba , ndio mji mkuu kibiashara kwa ukanda huu wa maziwa makuu , so Dodoma bado sana , Huwezi kutoka Mwanza ukaenda kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.