Recent content by Mpenda-Mabadiliko

  1. Mpenda-Mabadiliko

    Tahadhali: Wizi wa Mb Halotel

    Matumizi yetu tuyajua HAWA jamaa wezi. Kutoka GB 10 ndani ya siku 5 nimebakiwa na GB 3 na sina matumizi makubwa. Huko nyuma GB 10 nilikuwa natumia mwezi mzima mpaka nawarudishia zilizobaki.
  2. Mpenda-Mabadiliko

    Tahadhali: Wizi wa Mb Halotel

    Ni ukweli mtu hata mimi nimefanya utafiti nimegundua hilo. Yeyote anayetumia Halotel afanye utafiti atagundua kuwa sasa tunaibiwa mb zetu.
  3. Mpenda-Mabadiliko

    Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Prof. Palamagamba aula, Mwakyembe achukua nafasi ya Nape Nnauye

    Baada ya taarifa za kinachodaiwa uvamizi wa clouds media kuwa mkubwa, Nape kama waziri mwenye dhamana aliwaomba waandishi watulie na yeye atadhuru clouds media. Hapa alikuwa sahihi kabisa. Baada ya kutembelea clouds media na kusikia aliyoambiwa, tena maelezo ya upande mmoja Nape alitoa tamko...
  4. Mpenda-Mabadiliko

    Nape atakuwa na ujasiri wa kupeleka Ripoti ya Makonda kwa Rais?

    Gazeti gani litaandika wakati wameyangaza kususia habari za Makonda???
  5. Mpenda-Mabadiliko

    Episode I-5: Agano-Lowassa Lazima awe Rais, Ndio mkakati tangu 95 (UKIMYA WA SLAA)

    Sisi wapenda mabadiliko tunapenda kujisaulisha kirahisi mno. Ni swala la muda tu.
  6. Mpenda-Mabadiliko

    Mwenye ushahidi wa dhahiri juu ya ufisadi wa Lowassa aweke hapa hadharani! Tuache porojo!

    Njaa mbaya. Wasaka tonge wanaangaika kumsafisha LOWASA. Ishu hapa; kwa takribani miaka 7 saba sasa hii hali na kasi MPYA ya kutafuta ushahidi wa ufisadi Wa LOWASA ilikuwa wapi???
  7. Mpenda-Mabadiliko

    Mwenye ushahidi wa dhahiri juu ya ufisadi wa Lowassa aweke hapa hadharani! Tuache porojo!

    LOWASA anajinadi mtu wa maamuzi magumu. Swali langu. 1.Watanzania tulikaa gizani kwa miezi 6 tangu kusainiwa kwa mkataba wa Richmond. 2. Kipindi chote cha miezi 6 ya mkataba Richmond haikutekeleza chochote cha mkataba. 3. Mbaya zaidi Richmond walishindwa hata kuleta hata msumari nchini 4...
  8. Mpenda-Mabadiliko

    GE2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

    Kati ya walio tia nia wa ccm huyu Mwigulu nampa namba moja.
  9. Mpenda-Mabadiliko

    Tamko la Rostam Aziz dhidi ya Reginald Mengi na yatokanayo. Amuita fisadi Nyangumi

    Yani siku ukiona paka na pacha wameelewana, pata mashaka makubwa na hiyo collabo.
  10. Mpenda-Mabadiliko

    Tamko la Rostam Aziz dhidi ya Reginald Mengi na yatokanayo. Amuita fisadi Nyangumi

    Jana nilishangaa sana nilipomuona akiwa na wale aliowahita mafisadi papa. Mbaya zaidi fisadi papa siku hizi wamekuwa watetezi Wa wanyonge akiwemo Mengi.
  11. Mpenda-Mabadiliko

    The big 3: Lowassa, Chenge na Rostam kuhakikisha wanashika Ikulu?

    Wana Jamvi, Napata mashaka na hii Collabo ya Mh Lowasa. Inakuwaje wale wote wenye kashfa nzito wa nchi hii ndio wawe vinara wanaohakikisha Lowasa anaingia Magogoni? Hapa nawazungumzia Mh Chenge, Rostam, Karamagi na wengineo wapo kwenye collabo ya Lowasa. Imekaaje hii? Naomba kabla ya...
  12. Mpenda-Mabadiliko

    Yepi maamuzi ya Mh LOWASA? Team LOWASA naomba majibu.

    Team Lowassa ina majibu mepesi ktk maswali magumu, kama yeye hakuhusika na ni mchapa kzi na anaweza kuchukua maamuzi magumu iweje hakuchukua maamuzi hayo kwa richmond? mkataba ulisainiwa mwezi juni hadi decema hakuna mtambo kama PM alichukua hatua gani na nchi ilikuwa gizani? hapa tunaaminisha...
  13. Mpenda-Mabadiliko

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Team Lowassa ina majibu mepesi ktk maswali magumu, kama yeye hakuhusika na ni mchapa kzi na anaweza kuchukua maamuzi magumu iweje hakuchukua maamuzi hayo kwa richmond? mkataba ulisainiwa mwezi juni hadi decema hakuna mtambo kama PM alichukua hatua gani na nchi ilikuwa gizani? hapa tunaaminisha...
  14. Mpenda-Mabadiliko

    Urais 2015: Nilichokisema jana kuhusiana na kauli ya Lowassa

    Kama ESCROW ILIKUWA DEAL SAFI pia RICHMOND ILIKUWA DEAL SAFI Sasa nimewaelewa kwanini team lowasa wanataka LOWASA awe mkuu Wa nchi.
Back
Top Bottom