Recent content by mpenda arage

  1. mpenda arage

    Wajamaa mnisaidie, hivi Nyerere aliwezaje kuvumilia haya?

    Umesema vizuri tu mwenyewe, China ilijikwamua baada ya kifo cha Mao. Na Tanzania kimetukwamisha kitu gani kuendelea tangu Nyerere kung'atuka mwaka 1984?!
  2. mpenda arage

    Makonda: Sitamsaliti Hayati Magufuli hata niwekewe bastola

    Kwanini hakwenda kuomboleza na kutamka haya maneno kipindi yuko benchi?! Huyo atakua ana cheti kutoka TASUBA.
  3. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Hakuna lolote, mtoa mada ni sawa na mjamzito akiwa kwenye uchungu. Ataongea chochote Ili kujipoza tu. Kama anajua mafumbo, aende akaimbe taarabu.
  4. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Haya maumivu mtayapata sana, huu ni mwanzo tu.
  5. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Kama umeumia kunya boga.
  6. mpenda arage

    Simba hii michezo mliyoanza ya kuhonga marefa ili mshinde mechi itawapalia muda si mrefu, mmeanza wengine watamaliza na pasiwepo kelele!

    Hizi habari zenu tumeshazizoea. Simba ikifanya vizuri mnakimbilia kumponda karia na marefa. Na msimu huu hadi mtoe majimaji kwenye matundu yenu yote yaliyopo mwilini.
  7. mpenda arage

    Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

    Hii mada unaijua inahusu nini?! Au umekurupuka tu?!
  8. mpenda arage

    Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

    Kila msimu huwa mnatoa kauli hizi hizi. Mwishowe mnaumbuka, utopolo!
  9. mpenda arage

    Ali Kiba ni mwana Yanga SC 100% kaja Simba SC ili tu Kuungwa mkono na Vita yake dhidi ya Hasimu wake Diamond Platnumz

    Ndio umuelekeze huyo mtoa mada, maana kaja speed wakati hili sio jambo la ushangaza kwenye masuala ya kibiashara. Analeta hisia kwenye mambo madogo kama haya.
  10. mpenda arage

    Rage ajengewe sanamu lake

    Sio kosa lako, muda mrefu wa maisha yako ulikua mbwinde. Huna unalolijua.
  11. mpenda arage

    Ali Kiba ni mwana Yanga SC 100% kaja Simba SC ili tu Kuungwa mkono na Vita yake dhidi ya Hasimu wake Diamond Platnumz

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mtu akisema yeye ni yanga, haina shida. Ila akisema ni Simba mapovu kibao. Ongeeni hadi midomo ichanike, huo ukurasa Simba wameshaufunga. Tunasubiri tarehe 6 tuliamshe!
  12. mpenda arage

    Wanaume tuache kutembea na mabinti wadogo, hasara ni nyingi kuliko faida

    K za mahoka zikiingia upepo full vijambo!!
  13. mpenda arage

    Tetesi: Kimenuka Kambi ya Wanalunyasi huko Uturuki

    Labda ungeandika kwa kutumia matako, ndio ungeweza kupewa nafasi ya kuaminiwa huu ugoro wako.
Back
Top Bottom