Recent content by mpenda arage

  1. mpenda arage

    Lissu amesahaulika kabisa na watu hawana habari naye kabisa mitaani. Ni lazima ajue hana umuhimu wowote

    Angekua amesahaulika, usingehangaika kuleta uzi wake hapa.
  2. mpenda arage

    Rais wa Yanga achia ngazi

    Kweli mkuu, maana mikoromo kila kona!
  3. mpenda arage

    FT: Simba SC 3-1 Al Ahly Tripoli | CAFCC | 2nd Leg | Benjamin Mkapa Stadium | 22-09-2024

    Ambalo kina mama nyinyi mliambulia medali.
  4. mpenda arage

    Wajamaa mnisaidie, hivi Nyerere aliwezaje kuvumilia haya?

    Umesema vizuri tu mwenyewe, China ilijikwamua baada ya kifo cha Mao. Na Tanzania kimetukwamisha kitu gani kuendelea tangu Nyerere kung'atuka mwaka 1984?!
  5. mpenda arage

    Makonda: Sitamsaliti Hayati Magufuli hata niwekewe bastola

    Kwanini hakwenda kuomboleza na kutamka haya maneno kipindi yuko benchi?! Huyo atakua ana cheti kutoka TASUBA.
  6. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Hakuna lolote, mtoa mada ni sawa na mjamzito akiwa kwenye uchungu. Ataongea chochote Ili kujipoza tu. Kama anajua mafumbo, aende akaimbe taarabu.
  7. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Haya maumivu mtayapata sana, huu ni mwanzo tu.
  8. mpenda arage

    UKWELI MCHUNGU: Simba hakustahili kucheza Bonanza la AFL!

    Kama umeumia kunya boga.
  9. mpenda arage

    Simba hii michezo mliyoanza ya kuhonga marefa ili mshinde mechi itawapalia muda si mrefu, mmeanza wengine watamaliza na pasiwepo kelele!

    Hizi habari zenu tumeshazizoea. Simba ikifanya vizuri mnakimbilia kumponda karia na marefa. Na msimu huu hadi mtoe majimaji kwenye matundu yenu yote yaliyopo mwilini.
  10. mpenda arage

    Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

    Hii mada unaijua inahusu nini?! Au umekurupuka tu?!
  11. mpenda arage

    Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

    Kila msimu huwa mnatoa kauli hizi hizi. Mwishowe mnaumbuka, utopolo!
Back
Top Bottom