Umesema vizuri tu mwenyewe, China ilijikwamua baada ya kifo cha Mao. Na Tanzania kimetukwamisha kitu gani kuendelea tangu Nyerere kung'atuka mwaka 1984?!
Hizi habari zenu tumeshazizoea. Simba ikifanya vizuri mnakimbilia kumponda karia na marefa. Na msimu huu hadi mtoe majimaji kwenye matundu yenu yote yaliyopo mwilini.
Ndio umuelekeze huyo mtoa mada, maana kaja speed wakati hili sio jambo la ushangaza kwenye masuala ya kibiashara. Analeta hisia kwenye mambo madogo kama haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mtu akisema yeye ni yanga, haina shida. Ila akisema ni Simba mapovu kibao. Ongeeni hadi midomo ichanike, huo ukurasa Simba wameshaufunga. Tunasubiri tarehe 6 tuliamshe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.