Recent content by Mpembakizinga

  1. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Waislamu tuwe makini na watu kama akina Ponda na mfanowe

    Usifafanishe uislamu Wa zamani na sasa kwani Wa sasa bila siasa utoboi na ni rahisi serekali kuwaonea hiyvo watu mfano Wa ponda wapo kwa ajili ya kubalazi usawa
  2. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Arusha: Jeshi la polisi na CCM wavamia kikao Cha CHADEMA na kukamata viongozi

    Hizi siasa bila jino kwa jino upinzani utapata taabu sana waandae vijana majasiri hata kwa siri polisi wakianzisha wao wanamaliza
  3. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

    Naamin siku ya kurudi lissu atapata mapokezi makubwa labda arudi kimyakimya na serikali izue maandamano
  4. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Washauri wa Lissu wanampoteza kisiasa

    Kwa siasa za Tanzania zilipofikia bila kujulikana kimataifa kwa levo ya urais unauliwa peupo naamin lengo lake agombee urais siku za usoni
  5. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Mohamed Dewji: Ninamwachia Mungu Serikali kunidhulumu mashamba na viwanda vyangu

    Nilisikiaga mo demji ni kipenzi cha utawala huu kulikoni sasa maadui bora Rostamu Azizi alijiondokea kwa mda maana aliona mbali
  6. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru: CCM haitavumilia Watanzania kugeuzwa manamba

    Mwisho Wa ccm umewadia si kwa mapovu haya ya viongozi naona wanapeona zamu kumnanga lisu ila naamini lisu kagusa sehemu siyo wanatapatapa
  7. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Story inside a story about Lissu's visits, yaliyo nyuma ya pazia.

    Kazi IPO wabunge ,mabalozi,wakuu Wa mkoa,mawaziri,msemaji Wa serekali,spika,wanachama maslai kwa magufuli,wote wanamnanga lisu ila kilio kikizidi maiti anakaribia kwenda zikwa
  8. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Story inside a story about Lissu's visits, yaliyo nyuma ya pazia.

    Kazi IPO wabunge ,mabalozi,wakuu Wa mkoa,mawaziri,msemaji Wa serekali,spika,wanachama maslai kwa magufuli,wote wanamnanga lisu ila kilio kikizidi maiti anakaribia kwenda zikwa
  9. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Nahau za Nape: Mkulima, nyani na mahindi

    Fumbo mfumbie mjinga mwerevu ulivumbua(kuna issue iko njiani inakuja maana jamaa kabakisha Mwaka mmoja na kila MTU atajijua yupo kundi gani)
  10. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Nimefiwa na baba yangu mzazi

    Pole kwa msiba
  11. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania SAUT Mwanza hakina sifa tena ya kuitwa Chuo Kikuu, Serikali kitazameni upya

    Katika vyuo alivyoorezesha member anayejua no zao usajili(Reg admi)
  12. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Tanzania nchini Ujerumani wamuwakia Lissu, kwenda DW kutoa ufafanuzi wao

    Duu wanajisumbua mwisho was ubaya ni aibu
  13. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Tukio la Lissu ni 'game changer' kwenye siasa za Tanzania

    Ww jiulize maalim seif wa Zanzibar anavyowasumbua CCM hivi wanashindwa kumuua wanaogopa kwani maalim anajulikana kimataifa ukimua lazima kifo chake kichunguzwe hata shinikizo
  14. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Tukio la Lissu ni 'game changer' kwenye siasa za Tanzania

    Siasa za Tanzania zinapokwenda bila kujulikana kimataifa utapotezwa kwa kuuwa na kukoswa kwa lisu uenda ni mpango wa mungu ili maovu yao yajulikane kimataifa waogope
  15. Mpembakizinga

    JamiiForums Tanzania Sehemu zinazoongoza kwa ushirikina Tanzania

    Ni kweli sijasikia matukio ya kuchinja au kuua vikongwe maeneo ya pwani kwa ajili ya utajiri
Back
Top Bottom