Recent content by mpekuzifacts

  1. M

    Ufisadi bandari na mabehewa: Kamati Kuu ya CCM yawakingia kifua Sitta na Mwakyembe

    Mkimaliza kulia mniambie. Dr Mwakyembe ni waziri wa sheria na katiba. Hakuna wa kubadilisha. Hapa kaazi tu
  2. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Kuna lofa humu ndani anasema hajawahi kumuelewa Dr Mwakyembe. Mimi nasema , kama hujamuelewa rudi haraka darasani utoe huo ulofa ulionao.
  3. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Huwezi kumuelewa. Rudi shule
  4. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Utakuwa una minyoo wewe
  5. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Mhh utawezaje kumuelewa wakati uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho?
  6. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Utawezaje kumuelewa wakati wewe level yako ya kuelewa imefikia kikomo.
  7. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Utawezaje kumuelewa wakati wewe level yako ya kuelewa imefikia kikomo.
  8. M

    Mwakyembe, Sitta 'walisafisha' nini Bandarini?

    Na wala hutaweza kumuelewa Mwakyembe kwa sababu kumuelewa mtu huyu kunahitaji na wewe utimie vizuri kichwani kama alivyo yeye Dr Mwakyembe.Rudi darasani haraka.
  9. M

    Lowassa leo kuibua mazito

    Alipoulizwa swali na Idhaa ya BBC kuhusu nini hatma yake kama angeshindwa uchaguzi , kwa wepesi alijibu kuwa atarudi monduli kuwa mfugaji na mkulima. Sasa hili weweseko ni la nini. Huu ni usanii sasa. Kila siku oooh tamko tamko tamko nitatoa tamko. So what? Sasa akishatoa tamko anadhani ndio...
  10. M

    Lowassa kutoa tamko zito Jumamosi katika Ufunguzi wa Kampeni Jijini la Arusha

    Kwisney kazi yake ataishia kutoa matamko
  11. M

    Lowassa kutoa tamko zito Jumamosi katika Ufunguzi wa Kampeni Jijini la Arusha

    Eti lowasa kutoa tamko..? Ili iweje kwanza, who is lowasa? Atoe tamko kwanza sijui nani anamsikiliza.
  12. M

    Uteuzi Waziri Mkuu mtihani mkubwa kwa Rais na chama chake

    Naona ujangili wa mitandao umeanza humu jamiiforums. Moderator chukua hatua
  13. M

    Uteuzi Waziri Mkuu mtihani mkubwa kwa Rais na chama chake

    Kumekuwa na nguvu kubwa kutoka kwa baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari kwa kuona baadhi ya watajwa uwaziri mkuu hawafanikiwi majimboni mwao , jambo ambalo halikufua dafu na sasa wamegeuza misuli yao kuhakikisha kati ya watajwa hao mmoja wao hapati kiti hicho. Mikakati hiyo imeanza kupangwa...
  14. M

    Uteuzi Waziri Mkuu mtihani mkubwa kwa Rais na chama chake

    Naona akina Lizabon na wengine wa aina yake sindano imewauma sana. Tulieni , ikiuma mjue ndio dawa inafanya kazi, tulieni mtapona na kweli mtaijua.
  15. M

    Uteuzi Waziri Mkuu mtihani mkubwa kwa Rais na chama chake

    Tusishangae kesho au keshokutwa baadhi ya magazeti yanayomilikiwa na tajiri hapa nchini yakaanza kampeni chafu za kuwachafua baadhi ya Mawaziri wanaotajwa kumrithi waziri mkuu anayemaliza mmuda wake. Kampeni hizi chafu zimeanza baada ya kazi kubwa kushindwa katika kujaribu kwa hali na mali...
Back
Top Bottom