Pasaka imeenda
Ramadhan imekwisha
Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa. Kuna waliokuwa wanafanya mashindano kulisha iftar, iftar ilikuwa sio Ibada Tena bali mashindano.
Uvaaji wa Baragashia na kanzu ukawa fasheni kwa haraka haraka ungeingia tanzania kama huijui ungesema upo kwenye Taifa la ki...
Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda.
Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong.
Kila lakheri.
LEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
Mama Samia wanamchezea sana. Kila siku kubadilisha sababu sababu huku uchumi ukiharibika. Nakuona huruma RAIS wangu. Dhamira yake Kwa Taifa ila Hawa aliowapa dhamana akili za Kwenye makaratasi wengi sio wabunifu na wafanya maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.