Recent content by Mpekuzi Tanzania

  1. Mpekuzi Tanzania

    Tangu Bashe atemwe uwaziri ni kama kachanganyikiwa fulani hivi

    Alitumia Mabilioni kupanga safu ya Wagombea Ubunge Nchi nzima. Sasa kachanganyikiwa atazirudishaje kwani alijua tenda za miradi ya umwagiliaji na contract farming za pamba na tumbaku zingemlipa. juzi kapost anaota jua na njiwa 😆😆😆
  2. Mpekuzi Tanzania

    KERO Kibamba - Dar es Salaam wengi bado tunalazimika kununua maji ya chumvi

    Mbunge wenu Angela mchapakazi mpeni muda mambo yatakuwa mazuri
  3. Mpekuzi Tanzania

    Neno guys, si heshima kutumiwa na kiongozi mkubwa anayejiheshimu

    Alitumia Guys kwa audience aliyokuwa nayo ya waandishi wa habari ambao wengi walikuwa rika lake na wengine wadogo zake. Sema kwasasa wabongo Tumeamua kuwa negative kwa kila kitu au matamshi ya Serikali. Vitu vingine ivi sio ishu tupambane sasa taifa lisonge mbele
  4. Mpekuzi Tanzania

    Jeuri ya Kanisa katoliki Tanzania (TEC) hii hapa

    Ukitaka kujifunza utaratibu "law and order " kanisa katoliki ni darasa zuri sana. Angalia walivyoandaa mazishi ya papa francis kwa muda mfupi na kupokea wageni takribani laki nne kwenye misa pale st peter's square ila hakukuwa na mtu alielalamika kukanyagwa au kuibiwa simu.
  5. Mpekuzi Tanzania

    GE2025 Salum Mwalimu, amempa 'maua yake' Aida Kenani, Amepambana sana jimbo la Nkasi Kaskazini

    Mwamba kaibuka Tena baada ya kupotea kwa siku kadhaa, sijui pesa ya wese ilikata?
  6. Mpekuzi Tanzania

    KERO Waziri mwenye dhamana aingilie kati. CRDB imeshindwa kuhudumia Watanzania

    Majid CRDB imemshinda. Amekuwa 'politicized', kajaa kwenye mfumo wa wana siasa ndio maana wanapenda kumteua kuwa mjumbe wa bodi mbalimbali za mashirika ya umma. Yeye anajiona mwamba kumbe wanatwist. Kwasasa huyo wampe ubunge wa kuteuliwa , wakampe uwaziri ndio akili yake itatulia.
  7. Mpekuzi Tanzania

    GE2025 Salum Mwalimu: Endapo nitaingia madarakani, nitafuata nyayo za Magufuli, nitarudisha heshima ya Pamba

    Amepaniki Baada ya Mpina kurudishwa mchezoni, dau linapungua. Hii kauli ajiandae kwa moto wa wafadhiri wao, Itamkostii
  8. Mpekuzi Tanzania

    Tenda Majeshini: Angela Kizigha (Mbunge) anapata wapi audacity ya kutapeli/kuibia Jeshi la Polisi/Serikali zama hizi?

    Kwenye shughuli za Rais huyu Mama huwa yupo Mbele mbele kuliko hata walinzi wa Rais. Yaani sijui itifaki gani inaruhusu uswahiba kwenye majukumu ya Mkuu wa Nchi. Kuna jambo halipo sawa.
  9. Mpekuzi Tanzania

    Eti Mama ndiye anashutuka! washauri wako wabaya

    Washauri kina Bulembo, Luwavhi na yule mzanzibari. Kwa Dunia ya Leo unadhani Kuna la maana hapo kama sio kumjaza mambo ya majungu na ulozi
  10. Mpekuzi Tanzania

    CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

    Naomba kujua nini tofauti ya nafasi yake na nafasi ya Brenda Rupia ?
  11. Mpekuzi Tanzania

    PreGE2025 Spika Tulia amimina sifa kibao Rais Samia, asema wanaamini ataendelea kuwa taa inayoangaza njia ya taifa kwa miaka mingine ijayo

    Namba hazidanganyi. Rais Samia kafanya kazi sana sema kwa kuwa sio "muongeaji sana" ila huduma za kijamii amegusa sana
  12. Mpekuzi Tanzania

    Nimeamini Kanisa Katoliki lina nguvu. Wengi wamefanyiwa uovu, ni kawaida. Kaguswa Padri Mkatoliki moto umewaka

    Sio Tanzania, Ni Duniani Kote. Wewe unaona kawaida Rais wa Marekani kuandaa ziara ya ghafla ndani ya Siku Tano kwenda Vatican kumzika Papa. Rais wa Marekani kutoka nje ya Nchi under Short notice sio jambo jepesi inategemea na nguvu ya other part. Hapo ingekuwa Africa hata kama mmekufa Nchi nzima...
  13. Mpekuzi Tanzania

    EA Commercial & Logistics Centre (EACLC) kiboko ya Walanguzi K/Koo

    Inafunguliwa lini muungwana tuanze kupiga noti. Hakuna kwenda china tena
Back
Top Bottom