Recent content by Mpekuzi Tanzania

  1. Mpekuzi Tanzania

    Tundu Lissu Kuibukia Manyara. Ataongoza Maandamano ya Amani

    Wamekuwa kama futuhi 😁😂
  2. Mpekuzi Tanzania

    Shinyanga: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

    Mbona ya Lissu hutupi update kamanda
  3. Mpekuzi Tanzania

    Nani Sokoine wa kizazi hiki?

    Mwigulu Lameck Nchemba Madelu
  4. Mpekuzi Tanzania

    Tundu Lissu ahoji uhalali wa kikatiba wa jina jipya la Tume Huru ya Uchaguzi

    Ka tweet akiwa wapi? Nchini au Ughaibuni? Kwa mabeberu
  5. Mpekuzi Tanzania

    Ramadhan imekwisha, tuendelee na ujenzi wa taifa

    Pasaka imeenda Ramadhan imekwisha Sasa turudi kwenye ujenzi wa Taifa. Kuna waliokuwa wanafanya mashindano kulisha iftar, iftar ilikuwa sio Ibada Tena bali mashindano. Uvaaji wa Baragashia na kanzu ukawa fasheni kwa haraka haraka ungeingia tanzania kama huijui ungesema upo kwenye Taifa la ki...
  6. Mpekuzi Tanzania

    Amos Makalla Mwenezi mpya CCM Taifa, Ally Hapi Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi

    Kwanza Hongera kwa kuvaa viatu vya mtangulizi wako Paul Makonda. Lakini tathimini fupi kwenye mitandao ya kijamii baada ya uteuzi wako, Kizazi Kipya cha Wapiga kura (Watoto wa 2000) wengi wanakutilia mashaka kama utakidhi matakwa ya Siasa za kileo. Una kazi kuwa prove wrong. Kila lakheri.
  7. Mpekuzi Tanzania

    Mchakato wa Kupata Tume Huru ya Uchaguzi Uanze Sasa

    Wazee wa siasa za maswala na hoja wamepigwa na kitu kizito kwenye chaguzi za marudio wamepoteana. Ha ha ha ha 😂😂😂
  8. Mpekuzi Tanzania

    Nimenasa sauti ya Katibu Tawala (DAS) Wilaya ya Mbogwe, Ndg. Jacob Rombo akiiba mafuta ya Serikali

    Unaangaika na mwizi wa Laki Mbili unaacha wa mabilioni. Kweli bangi nibangue
  9. Mpekuzi Tanzania

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    Huyu nae kama kichaa. Yaani mtu aapishwe alafu watu hawajui alipo Rais aliekuwa madarakani. Huyu hongo zishampofusha
  10. Mpekuzi Tanzania

    Godbless Lema kutikisa Power Breakfast

    LEMA BANA UMESHINDWA KABISA MAISHA MENGI NJE YA UBUNGE NDIO MAANA MUONEKANO WAKO UNA MSONGO WA MAWAZO SANA.KUBALI ULIKUWA NA IMESHAPITA. MOVE ON GUY. YAANI HUNA RAAHA KILA SIKU UBUNGE UBUNGE. EBU FIKIRI NA VINGINEE BASI BROO
  11. Mpekuzi Tanzania

    Benki Kuu (BoT) yadai kuna watu wameficha dola

    Mama Samia wanamchezea sana. Kila siku kubadilisha sababu sababu huku uchumi ukiharibika. Nakuona huruma RAIS wangu. Dhamira yake Kwa Taifa ila Hawa aliowapa dhamana akili za Kwenye makaratasi wengi sio wabunifu na wafanya maamuzi
  12. Mpekuzi Tanzania

    Maranja Masese atembelea kaburi la Lowassa. Akutana na familia

    Zile tents na red carpet zilibadilisha sana madhari huwezi kuamini kama ndio hapo tulikuwa juzi tukitoa salam za mwisho kwa Mwamba wa kasikazini
Back
Top Bottom