Recent content by Mpauko

  1. Mpauko

    Najikuta kadri siku zinavyokwenda natamani sana Pombe (kulewa). Nifanyeje ili kuondokana na hiyo tamaa?

    Mkuu,hapa atakuja... Aliyeokoka atakuambia sogea kanisani,sogea kwa Yesu hayo ni mapepo. Atakuja muislamu safi atakuambia ongeza juhudi katika swalaa na muone ustaadhi akusomee duwa. Atakuja mlevi atakuambia nina miaka 20 nakunywa bia na haina madhara yoyote na maisha mafupi haya kunywa bwia...
  2. Mpauko

    Mwanangu hawezi kukaa naomba ushauri wa matibabu

    gasgas, Barikiwa sana ndugu umejitahidi sana kuchangia ulichonacho kwa ndugu yetu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mpauko

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Nipo Dar es salaam mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mpauko

    Doctor anadai nina TB na kanianzishia dawa ila sikohoi hata kidogo

    Daaaah ilikuwaje mzee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mpauko

    Wakati umepigika kazi gani ya ajabu uliwaza kufanya?

    Ambao bado tupo kwenye stage ya kupigika nadhani tunaruhusiwa hapa! Ni mwaka 2017 tu hapo mzee katimuliwa kazi hapo ndipo kila kitu kilipoharibika na nipo chuo,hapo niliuza hadi viatu na nguo mradi tu kitabu kiemde. Hapo deni la ada linasoma 2.3mil...nikauza kila kitu cha thamani deni likasoma...
  6. Mpauko

    Doctor anadai nina TB na kanianzishia dawa ila sikohoi hata kidogo

    Kwani amefariki mkuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Haha noma,hasa wakiwa wanakukirimu saaana yan unaona kbsa unawasumbua.... Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mpauko

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Mwaka 2002 nikiwa bado yanki wa chekechea tu nina miaka yangu saba nilikuwa na katabia kamoja matata sana. Wazee wangu wanapotoka then wananiambia nibaki nilikuwa nakubali then nawafuatilia nyuma wakifika mbali sana najitokeza kwa vile ni mbali wanakosa jinsi inabidi twende wote tu. Tulikuwa...
  9. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Hawa ndio marafiki niwapendao yaan no kuongeaongea kila mtu yupo bussy na yake nawapenda sana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Changamoto kubwa na pale unashindwa kulitimiza hili,huna kitu,huna pesa. ,kuna vitu vya kawaida sana muhimu kwangu,nyumba/chumba changu tena kiwe mahali pa peke yake sitaki fujo,self container ndio cha kwanza,kuwe na umeme,laptop,tv na kisimbuzi cha dstv pia iwepo sabufa yenye sauti quality...
  11. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Hahahaha mkuu mkuu mkuu taratibu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Aaah mi kukaa kwenye vikundi bwana cjui najionaje yan npo juu juu tu sura kama ngumi sijui kazi kuitika eeeh! eeeh! Duuh! alooo! aiseee! zta! zta! zta! zta! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mpauko

    Kama umewahi kushuhudia live nguvu za giza pita hapa uweke ushuhuda wako

    Hebu nisimulie hiki kisa changu... Jumanne 23-08-2019. Ilikuwa saa nne na nusu usiku nikiwa nimeketi sebuleni,mara gafula mzee akatoka chumbani na kuanza kunitukana matusi ya nguoni... "Kijana gani wewe kazi kula na kujaza choo,huoni wenzio wanafanya kazi na wanategemewa na wazazi wao...ni...
  14. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Mie hata kusalimia tu mtihani yan ile kutambulishwa halafu mtu anarefusha mazungumzo aisee najikuta tu nasema "mi naenda" Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Mpauko

    Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

    Yeah maisha yanaenda Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom