Kwa wale introverts, anti social, na shy people maisha yako ya chuo yalikuwaje? Vipi mtaani kukoje?

Chuo maisha yangu yalikua triangle (Hostel, Class, Cafeteria), sikua naenda sehemu yoyote ile. Usiku najisomea chumbani hostel. Sikua napenda discussion na si kwasababu ya kutotaka kuwa na watu, bali kwasababu nilikua naona wananipotezea muda, kitu kipo straight watu wanaongea maneno meengi wanamaliza muda! Solution nilitafuta introvert wenzangu tukawa tunadiscuss kipindi cha mitihani... (obvious walituchukia na kutusema sana). Ilileta maneno mengi kwasababu tulikua ndio vipanga wa darasa

Maisha ya nyumbani naishi chumbani, home waliongea hadi wakakubaliana na hali halisi kwamba ndivyo nilivyo.

Kazini kwa sasa nikitoka narudi straight nyumbani. Kiufupi nakaa ndani kama utumbo..... NA MUDA MWINGI NAUTUMIA KICHWANI KWANGU MWENYEWE (IN MY OWN BUBBLE)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni introvert na najivunia kuwa hivyo.

Being an introvert doesn't mean that you'll be antisocial or stressed.

Changamoto ambazo tunazipata sisi introvert ni kwenye mahusiano na watu.
Hatupendi kukaa na watu

-Hatupendi story za kipuuzi,kama udaku na kusema watu,tunataka story zenye facts.

-Hatuna marafiki.

-Kama tukitaka kwenda club tunaenda club tunaenda wenyewe na hatuchezi mziki tunasikiliza tu.

-Mtu akija kukutembelea unatamani aondoke,sio kwamba humpendi basi tu unakuwa hupo comfortable.

-Hupendi kupokea simu,simu ikiita unaiangalia , halafu unamtext muhusika

-Unapenda sana text kuliko calls

-Muda mwingi upo kichwani mwako

Umenisemea mimi haya yote applies to me. Mimi ni introvert.
but haimaniishi kuwa introvert ndiyo kuwa anti social, hapana
 
Amen.
Social medias zinatusaidia kusocialize.
Nyumbani naweza nikae miezi na majirani wasigundue kama nipo.
Akili zangu nazijua mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni mbaya aisee

Hakuna kitu kizur kama connection na exposure ..ukiwa introvert haimanishi kama hautavipata ila ukiwa social ..ukiwa social..madam inakuwa perfect combo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wewe ndo ulikuwa unatype assignment za makundi basi umewafelisha sana wenzako, post yako umetype hovyo sana, na hii ni yako sipati picha hizo assignments kutoka kwa lecturers zilikuwaje,
hizi degree hizi yaani basi tu Mungu atusaidie.
Lakini nakutakia mwaka mpya wenye mafanikio, na usikubali mwaka 2020 upite ukiwa bado unatype hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 daaaah
 
Muombe mungu wako ubadilike

Ikishindikana hakuna namna baki hivo hivo tu pia sio vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kujitenga kumeniepusha na mengi hasa makundi mabaya... nipo naishi maisha yangu halisi na najiona nipo njia sahihi
Hasara pia Zipo..ila faida Ni nyingi kuliko hasara

Na wewe mwombe MUNGU huo uchaupombe uuache... nakuambia tena kwa mara nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua kama nyie zamani ila sipo hivyo tena ila sio sangwine type pia.

Binafsi nilikua hivyo sababu ya kasoro niliyokua nayo,nilikua na meno yametokezea nje kama ngiri,basi tangu msingi watoto wenzangu wakawa wananitania vibaya mno kwakila aina ya majina hadi nakosa raha.nakumbuka nikiwa darasa la 5 niliwahi kumchoma mwenzangu na kisu hadi akaenda kulazwa namimi nikaenda jela ya watoto wiki 2!

Nilipokua darasa la 7 nikaenda kuwekewa bracelets za kwenye meno kuyarudisha nyuma na kuyapangilia,sasa kufika form one bado wanafunzi wenzangu wakawa wananishangaa tena kama wanaona nini sijui ikawa kero nyingine iliyonifanya niwe alone sana kwa muda mrefu mpaka nilipokuja kutoa meno yalipokaa sawa(amakweli pesa inaweza kubadilisha chochote kile na usiamini)

Kipindi namaliza form 4 mwishoni kuna kitu kilinifanya ni tabasabamu,sasa mwalimu aliniona akasema "jamani darasa tangia nimjue flani toka form one nakiri kwakusema kua leo ndio mara yangu ya kwanza kumwona akitabasamu" si mdarasa zima ukawa unaniangalia mimi saa hiyo WTF! ikawa story kubwa kinoma!

Sikuipenda ile hali,nikawa natafuta namna ya kujibadilisha hizo tabia hatimae nikaweza kupitia vitabu vya Napoleon hill na theron dumont.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah yamekuwa hayo tena Hivi pombe imewakosea nini nyie binadamu ...kile ni kinywaji tu kama soda, juice ,divai nakadhalika
Kwanza kujitenga kumeniepusha na menhi hasa makundi mabaya... nipo naishi maisha yangu halisi na najiona nipo njia sahihi
Hasara pia Zipo..ila faida Ni nyingi kuliko hasara

Na wewe mwombe MUNGU huo uchaupombe uuache... nakuambia tena kwa mara nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah mi kukaa kwenye vikundi bwana cjui najionaje yan npo juu juu tu sura kama ngumi sijui kazi kuitika eeeh! eeeh! Duuh! alooo! aiseee! zta! zta! zta! zta!
Ishu ya kutembelewa alafu ukute siku iyo wife kasafiri aise siku inakuwa ndefu sana
Kuna kipindi nilijito nikaenda jirani kuna kijiwe wanachezaga bao ili majirani wanijue hata kwa sura tu nakumbuka nilivyotoka pale siku ya kwanza sikurudi tena mpaka leo napitaga kusalimia tu alafu hawanioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikir ujitahid utafute uwe nae, ili ikupe urahic pale utakapohitaji kua na familia, ili iwe rahic kwako kuendana na mkeo, atleast utajua changamoto za kuzikabili kwa baadae, coz mabint wengi hupenda mwanaume anarkua charming kidgo (nimetumia experience tu) maana mimi sio introvert ila nina rafiki yangu yuko hivyo, nilisoma nae sekondari huko mbeya, ni mm tu niliweza kuendana nae wengine wote walishindwa kumwelewa. Mpaka sasa ni rafiki yangu sana, ila inaweza kupita hata wiki mbili hatujatafutana, ila tukitafutana ni story kdgo tu. Ila atleast abajitahid kunitafuta.
Kimahusuano, of course jamaa alikua very shy yaan ana aibu kupitiliza, ila alinieleza kua kunabint anampenda ila he feel so shy to tell her, nikampigia pande kwa binti akakubali, ingawa kiukweli bint mwenyewe alikua anampenda sana jamaa ko ikawa rahic tu ila nilimwambia ajitahid kumvumilia coz ndivyo alivyo wala hana dharau. Thanx God toka 2012 mpka 2019 still wapo pamoja na huyo bint, na jamaa hajawahi kuwa na bint mwingine. introvert wengi ni waaminifu, ila some time they don't care others' feelings (speaking of experience)
Nawakubali sana nyie majamaaa mnakuaga sio mizigo kwawatu, hamuombi misaada kupitiliza, hamuelezi matatizo yenu kwa watu. That is how you are appreciate it and be blassed.
Wishing you happy new year 2020

Simjui msichana wala binti, still a virgin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha vibakie sitaki niende nianze kukumbuka niangalie picha yake ukutani na mazingira Yale niwaone wale watu sio healthy kabisa kwa afya ya ubongo ..I run away from my past


Naamini huku nilipo nitafanya mapinduzi nikiwa na pombe by my side na ni safe kabisa
Nenda Rudi nyumbani...vitu vyako ulivyotafuta kwa jasho lako na MUNGU akakubariki vipo..umevikimbia.
Huko ulipo sio kwako.

Nakusapoti vipi Kwenye ujinga unaotaka kuufanya?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikir ujitahid utafute uwe nae, ili ikupe urahic pale utakapohitaji kua na familia, ili iwe rahic kwako kuendana na mkeo, atleast utajua changamoto za kuzikabili kwa baadae, coz mabint wengi hupenda mwanaume anarkua charming kidgo (nimetumia experience tu) maana mimi sio introvert ila nina rafiki yangu yuko hivyo, nilisoma nae sekondari huko mbeya, ni mm tu niliweza kuendana nae wengine wote walishindwa kumwelewa. Mpaka sasa ni rafiki yangu sana, ila inaweza kupita hata wiki mbili hatujatafutana, ila tukitafutana ni story kdgo tu. Ila atleast abajitahid kunitafuta.
Kimahusuano, of course jamaa alikua very shy yaan ana aibu kupitiliza, ila alinieleza kua kunabint anampenda ila he feel so shy to tell her, nikampigia pande kwa binti akakubali, ingawa kiukweli bint mwenyewe alikua anampenda sana jamaa ko ikawa rahic tu ila nilimwambia ajitahid kumvumilia coz ndivyo alivyo wala hana dharau. Thanx God toka 2012 mpka 2019 still wapo pamoja na huyo bint, na jamaa hajawahi kuwa na bint mwingine. introvert wengi ni waaminifu, ila some time they don't care others' feelings (speaking of experience)
Nawakubali sana nyie majamaaa mnakuaga sio mizigo kwawatu, hamuombi misaada kupitiliza, hamuelezi matatizo yenu kwa watu. That is how you are appreciate it and be blassed.
Wishing you happy new year 2020



Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks! 😮
 
Back
Top Bottom