Hilo tatizo lilinikuta Ikawa ni Pipe ya kupitisha hewa kwenye pump ya mafuta. Hebu itazame kama imelegea kama ndio basi ndio inayotoa hewa ni ishu ndogo nunua maker ile gundi then chomo hiyo pipe paka gundi then chomeka pipe tatizo litakwisha.
Habari maafisa.
Nina laki 1 kesho nataka niichome kwa odds 15 tu.
Naona kesho timu ni nyingi mno ndio napagawa niweke yupi niache yupi. Kila ninayogusa naona mawenge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.