Said Mishkaki ambaye ni muuzaji mishkaki maarufu maeneo ya Temeke , amepigwa leo na wananchi wenye hasira baada ya kukutwa akiandaa paka kwa ajili ya kuitengeneza mishkaki.
WanaJF tuwe makini na hii mishkaki ya barabarani.
vodacom ni wezi leo nimenunua muda wa maongezi kwa m pesa ambapo wanasema ukinunua kanzia 600 kwenda juu unapata nyongeza ya sh 150 mm nimenunua muda wa sh 1500 sijapata nyongeza yoyote huu ni udanganyifu na aibu kwa kampuni kubwa kama hii kuweka matangazo ya uongo
ni kweli mkuu dada yake January makamba miss Mwamvita makamba alishawahi kuwa boss wa kitengo flani kwenye hii kampuni hivyo ni hao hao hawawezi kufanywa lolote zaidi ya kuungwa mkono
issue sio thread mpya balu ni huu upandishwaji wa gharama unaofanywa kila siku na hii kampuni kaka naona ww hujaliona hili kuwa ni jipya kutoka mb 100 mpaka mb 8 ni gharama zipi za uendeshaji zinazoweza kufanya punguzo la mb kwa asilimia zaidi ya tisini na unachangia ujinga
Vodacom wamepandisha gharama za mawasiliano katika vifurushi vyao ambapo pia wamepandisha gharama za mb. kwa sasa ukinunua kifurushi cha shilingi 1000 mitandao yote unapata dakika 20 badala ya 21 za awali na mb 8 badala ya 100 za awali. mh makamba imulike hii kampuni inayopandisha gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.