Recent content by Mpanda nyangobe

  1. M

    Vijana si sawa kupinga kila kitu, Somo la Maadili lifundishwe toka darasa la kwanza mpaka Chuo

    Hiki kinachoitwa elimu ya maadili mara uzalendo.. ndio kitazalisha taifa la waoga Kwa koti la uzalendo huku wajanja wachache wakipiga Hela
  2. M

    Kumekucha: CHADEMA yatoa ratiba ya wiki ya Maandamano, Tundu Lissu kuongoza Mikoa Mitano

    Mambo ya uchaguzi ndiyo fahari ya mwanasiasa ...tozo wananchi wamepigwa wakachakaa hatukuwahi kusikia mwanasiasa anaitisha maandamano
  3. M

    Je, viongozi kama Mwigulu wanavyoanza kuwaandaa watoto wao kushika madaraka wanatamani uongozi wa kiimla?

    Kuandaa mtoto kuwa someone in future ni ndoto ya Kila mzazi mwenye akili timamu
  4. M

    CAG Ripoti 22/23: TEMESA inailipa Kampuni ya AZAM Tsh. Milioni 5 kila siku kuendesha Vivuko

    Sasa Kwa nini wasimuachie huyo Azam aendeshe huku wao wakipata Kodi tu
  5. M

    Simba na Yanga mpaka sasa kutokuwa na Viwanja vyao vyenye hadhi ya Kimataifa? Tatizo ni TFF, Sera au ?

    Timu zimejaza mashabiki oya oya wasio na Msaada wa kiuchumi Kwa timu unategemea vilabu vitoe wapi Hela ya kujenga viwanja?.. lipeni kadi za uanachama bila shuruti uone kama hawatajenga pitch
  6. M

    CDF Mstaafu Mabeyo ametaka kufikisha ujumbe. Je, wananchi tumeuelewa ujumbe?

    Mwandishi wa daily news alitakiwa aulize siku na tarehe hayati aliyoomba aitiwe padri na kadnali pengo Ili wampe Toba
  7. M

    Maswali kwa CDF Mstaafu, Venance Mabeyo

    Ilikuwa tarehe ngapi mgonjwa alipoomba aitiwe padri na kadnali pengo?
  8. M

    Kwanini watu ambao hawajui chochote ndo hujiona wanajua. Au mtu mdhaifu siku zote haoni udhaifu wake?

    Wewe ndio mmoja wao...watu kama nyie ndio mnafanya nchi hii iwe ombaomba all the time...
  9. M

    Bongo movie wapi mnakwama?

    Hujui kitu kuhusu uigizaji....shida ipo Kwa directors.. Ukipata director mzuri Hata wewe waweza kupafomu better
  10. M

    Rais Samia kuongoza maelfu ya Watanzania kumpumzisha Edward Lowassa katika nyumba yake ya milele

    Hivi angekuwa mpaka umauti unamfika akiwa chadema... Angepata coverage ya CCM au wangempotezea
  11. M

    Umri wa kustaafu ukipunguzwa, vijana hawawezi kuajiriwa?

    Hao wastaafu wanaitaji pension Kila mwisho wa mwezi...hapo itakuwa unatwanga maji kwenye kinu
  12. M

    Nitajiunga CCM Makonda akiwaita wanajeshi kama anavyowaita Mawaziri

    Kama wanaamrishwa na Makalla kufanya usafi makonda atashindwa nini
  13. M

    Ukiwatoa TEC na Lutheran, taasisi zingine za dini mambo ya kijamii hayawahusu kabisa!

    Linganisha Elimu ya viongozi wa Tek, Lutheran na hayo madhehebu mengine then utapata jibu
Back
Top Bottom