Recent content by Mpamo

  1. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Kweli DEOs na REOs ndiyo wamemwangusha naana baada ya yeye jufanya ilitakiwa nao wawaelimishe wazazi maana wao ndiyo wadau wakudwa zaidi wa matokeo. Too bad juhudi yote aliyofanya bado wameshindwa kufikisha elimu hiyo kwa wazazi- wadau wakuu
  2. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Mbona una hasira na Msonde, amekukosea nini?
  3. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Mkuu ndiyo matokeo ya kweli yapo kwenye tovuti ya NECTA http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/olevel2014.htm
  4. M

    Matokeo Kidato cha Nne 2014 yametoka: Sekondari ya Kaizirege yaongoza

    Nimepitia matokeo ya Kidato cha Nne na kuona jinsi ambavyo BRN imeleta mageuzi katika sekta ya elimu. CSEE 2014 EXAMINATION RESULTS S0784 AIRWING SECONDARY SCHOOL DISTINCTION = 1 MERIT = 19 CREDIT = 35 PASS = 112 FAIL = 199 S4887 MILONGODI SECONDARY SCHOOL DISTINCTION = 0 MERIT = 0 CREDIT...
  5. M

    Matokeo Kidato cha sita: Lengo limetimia!

    Hongera zao kwa mapishi siwawezi!!!!
  6. M

    Dkt. Ghalibu Bilal agawa zawadi hewa kwa wanafunzi Bora

    Huo ni usanii uliopitiliza. Kwanza Wizara ya Elimu ni bora tu ivunjwe maana kila kitu kimeshahamia TAMISEMI, wao wamebaki na kazi ya kuchakachua viango vya ufaulu, sasa wanachakachua mpaka zawadi za wanafunzi. HII NI ZAIDI YA AIBU NA NI FEDHEHA KUBWA SANA KWA MAKAMU WA RAIS ONLY IN...
  7. M

    NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7

    Ni kweli mkuu grade zimeshushwa sana thamani ukilinganisha hata na walivyobana pointi ya madaraja. Kwa hiyo kwa kuzingatia kushuka kwa thamani ya A, B C na D ni yale yale tu ya wale wale tu
  8. M

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014: DIV I point 3-7

    Hivi huu ni mchezo gani hasa unaochezwa? Kidato cha Nne magoli yalipanuliwa huku wanabana wakati kote wameshusha sana thamani ya grade zore kuanzia A hadi D. Kwa hiyo inaonekana wangeacha magoli kama yalivyokuwa kwa kuwa thamani ya grades A, B, C, na D zimeshushwa sana, inaelekea wanafunzi...
  9. M

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014: DIV I point 3-7

    OYEEEEEEEH, naomba kwenye mchakato wa katiba unaoendelea apendekezwe kuwa Katibu Mkuu wa Kudumu kwenye Elimu ili watanzania waendeleaa kufaidi haya mabadiliko ya kushtukiza
  10. M

    NECTA Yabadilisha Viwango vya Ufaulu Form 6, DIV I Mwisho point 7

    Wenzangu na mie waliokuwa wanategemea masomo ya dini sasa watakiona. Go NECTA gooooooo!!!
  11. M

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014: DIV I point 3-7

    Waliokuwa wanaponea masomo ya dini sasa wamekwisha maana hayatahesabika tena. Hapo safi sana
  12. M

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014, DIV I point 3-7

    Duuh, Kazi na shughuli ni pevu sana. wale waliokuwa wanategemea masomo ya dini mwaka huu wataangukia pua maana hayo hayahesabiki kwenye Division kuanzia mwaka huu TWENDE KAZI
  13. M

    Mitihani inayoendelea kidato cha sita

    Mhhh, ya kweli hayo au ni kutojiandaa vizuri unaweweseka?
Back
Top Bottom