Kweli DEOs na REOs ndiyo wamemwangusha naana baada ya yeye jufanya ilitakiwa nao wawaelimishe wazazi maana wao ndiyo wadau wakudwa zaidi wa matokeo. Too bad juhudi yote aliyofanya bado wameshindwa kufikisha elimu hiyo kwa wazazi- wadau wakuu
Huo ni usanii uliopitiliza. Kwanza Wizara ya Elimu ni bora tu ivunjwe maana kila kitu kimeshahamia TAMISEMI, wao wamebaki na kazi ya kuchakachua viango vya ufaulu, sasa wanachakachua mpaka zawadi za wanafunzi.
HII NI ZAIDI YA AIBU NA NI FEDHEHA KUBWA SANA KWA MAKAMU WA RAIS
ONLY IN...
Ni kweli mkuu grade zimeshushwa sana thamani ukilinganisha hata na walivyobana pointi ya madaraja. Kwa hiyo kwa kuzingatia kushuka kwa thamani ya A, B C na D ni yale yale tu ya wale wale tu
Hivi huu ni mchezo gani hasa unaochezwa? Kidato cha Nne magoli yalipanuliwa huku wanabana wakati kote wameshusha sana thamani ya grade zore kuanzia A hadi D. Kwa hiyo inaonekana wangeacha magoli kama yalivyokuwa kwa kuwa thamani ya grades A, B, C, na D zimeshushwa sana, inaelekea wanafunzi...
OYEEEEEEEH, naomba kwenye mchakato wa katiba unaoendelea apendekezwe kuwa Katibu Mkuu wa Kudumu kwenye Elimu ili watanzania waendeleaa kufaidi haya mabadiliko ya kushtukiza
Duuh, Kazi na shughuli ni pevu sana. wale waliokuwa wanategemea masomo ya dini mwaka huu wataangukia pua maana hayo hayahesabiki kwenye Division kuanzia mwaka huu TWENDE KAZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.