Recent content by Mpambanaji17

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

    Umeshaanza tuition
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

    Kaka nakucheki DM
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi humu kuna wateja au wanasiasa?

    Nafikiri humu kama unaanzisha biashara yako usije kabisa maana wana JF ni wajuaji utafikiri wote matajiri😂😂...halaf anaweza akaa anaongea kitu ambacho hakijui utafikiri anakijua kuliko wewe......Wafanyabiashara tupeni ushuhuda!!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Ukisema sijafanya utafiti wa kutosha lazima utuambie wewe bei yako baada ya utafiti!....unless kama unataka kuleta uswahili pia routers unaweza kuwaonganisha familia au team yako mkiwa kwenye event au kazini so inamatumizi mengi labda kama huyajui!!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Asa nani anakuingiza mjini😂😂....itakua upo kijijini labda maana akili uliyonayo ni ya kuvaa usiwe uchi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Wewe tena Ndio wa kwanza nikuone ofisni Tabata magengeni nikupe Pocket wifi ya Unlimited bundle kwa sh 140,000
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Bando la 2000🥲.........andika vizuri mkuu au umeruka darasa
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    😂😂😂😂😂
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Acha uongo wewe kama nani?.......Hatupo zama za mawe saivi kwamba utadanganya tu akati kila kitu kipo wazi na elimu ipo mkononi...ndio maana mlifeli mitihani ya ndalichako uongo mwingi
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Duuh mahitaji yakizidi usisite kutuona tabata magengeni kuchukua Pocket wifi yako
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Sijasoma mkuu😂.....ila bando la buku huwezi kukaa nalo wiki mbili chukua Pocket wifi wewe acha wenge
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Why au linakutosha?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Napatikana Tabata magengeni
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Kama unaridhika ni vyema mkuu ukiona mahitaji yanazidi usisite kunicheki
  15. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Apo kwa wiki gb10 huoni wamekulimit🙃....na unafikiri zitaisha mwisho wa week😂😂....bora ununue unlimited(bila kikomo).....hapo unafanya kitu chochote bila kuogopa bando kuisha mwezi mzima
Back
Top Bottom