Recent content by Mpambanaji17

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi yoyote ya Kariakoo kama ya kuuza duka

    Hizi biashara ya viatu ilifeli....na hiyo udalali wa magari sijawahi kupata mteja ata mmoja so ni kweli nilifeli biashara zote. MAISHA NI HATUA
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi yoyote ya Kariakoo kama ya kuuza duka

    Me naishi Dar kwasasa so nahisi kwa apa itakua rahisi labda kama utataka kuagiza kitu dar utanipa iyo kazi .Ahsante na Nashukuru
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi yoyote ya Kariakoo kama ya kuuza duka

    Nitashukuru pia
  4. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi yoyote ya Kariakoo kama ya kuuza duka

    Habarini nilikua naombeni kazi yoyote ya kariakoo kama ya kuuza duka, kupeleka mizigo ,kutumwa hapa na pale ili nipate chochote kama utawezq kuniunganisha pia nitashukuru sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania M-Koba na M-wekeza?

    Uwezo wako wa kufikiri upo fixed kiasi kwamba hata kuelewa unapata shida na umejawa na ujinga kwa ubishi usio na tija , sina Shaka kwamba Una low IQ na sipaswi kukupa muda kukusikiliza.Kwaheri!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania M-Koba na M-wekeza?

    Tunaomba mrejesho kama ulifanikiwa sisi pia tunataka kujua ili tujue pa kuanzia
  7. M

    JamiiForums Tanzania M-Koba na M-wekeza?

    Sasa kwani akiuliza huku kuna shida gani, mbona kama point yako sio ya msingi ...Mtu anapouliza kitu katika forum anataka apate experience za watu , elimu mbalimbali kuhusu Mada husika ili aweze sio tu kufanikisha jambo lake Bali pia awe ameongeza kitu katika jambo analolitaka kufanikisha aidha...
  8. M

    JamiiForums Tanzania M-Koba na M-wekeza?

    Vipi umefanikiwa kupata taarifa uje na mrejesho
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimeapply field tangu mwezi 4 bado sijapata field. Naomba usaidizi

    Bila kufanya field?...inawezekana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimeapply field tangu mwezi 4 bado sijapata field. Naomba usaidizi

    Habari zenu Wana JF. Nimeapply Kwa Ajili ya Field Tangia mwezi wa 4 ila bahati mbaya mpaka sasa sijapata field. Mwenye msaada anisaidie tafadhari Tunaanza field tarehe 21/7 na kumaliza tarehe 12/9 nipo mwaka wa pili UDSM Course ni BCOM IN BANKING AND FINANCIAL SERVICES. Natanguliza shukrani
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mafundi simu nawahitaji sana!!!. simu yangu ya pixel 5A na Jana ikafa machine

    Habari ndugu Wana JF ,nilinunua simu yangu ya pixel 5A na Jana ikafa machine kwaiyoo nataka kuwauzia kioo ch Google pixel 5A kwa sh 230,000
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo vipi naomba code
  13. M

    JamiiForums Tanzania Watu wanaopenda Internet data njooni apa

    Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa 6000/= _5gb 10,000/=_10gb 20,000/= _20gb yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara. Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata Elimu juu ya Fursa ya uwekezaji kupitia kampuni ya utalii mkoani Arusha

    Ahsante sana Ndugu .... Ubarikiwe
Back
Top Bottom