Habarini nilikua naombeni kazi yoyote ya kariakoo kama ya kuuza duka, kupeleka mizigo ,kutumwa hapa na pale ili nipate chochote kama utawezq kuniunganisha pia nitashukuru sana
Uwezo wako wa kufikiri upo fixed kiasi kwamba hata kuelewa unapata shida na umejawa na ujinga kwa ubishi usio na tija , sina Shaka kwamba Una low IQ na sipaswi kukupa muda kukusikiliza.Kwaheri!!
Sasa kwani akiuliza huku kuna shida gani, mbona kama point yako sio ya msingi ...Mtu anapouliza kitu katika forum anataka apate experience za watu , elimu mbalimbali kuhusu Mada husika ili aweze sio tu kufanikisha jambo lake Bali pia awe ameongeza kitu katika jambo analolitaka kufanikisha aidha...
Habari zenu Wana JF.
Nimeapply Kwa Ajili ya Field Tangia mwezi wa 4 ila bahati mbaya mpaka sasa sijapata field.
Mwenye msaada anisaidie tafadhari Tunaanza field tarehe 21/7 na kumaliza tarehe 12/9 nipo mwaka wa pili UDSM Course ni BCOM IN BANKING AND FINANCIAL SERVICES.
Natanguliza shukrani
Jamani Wana jF naomba kuuliza haya mabando ya halotel yanayouzwa
6000/= _5gb
10,000/=_10gb
20,000/= _20gb
yanapatikana wapi kwa bei ya jumla na unaanza kununua GB ngapi ili itusaidie sisi content creators na wafanya biashara.
Yanapatikana wapi na yanatolewa kwa vigezo Gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.