Wewe kupatikana sio kazi wakitaka. Aliyetengeneza jf ni binadamu ka wewe lakini najua hawatafanya hivyo hata wao wanapata habari humu lakini tuwe makini tunachoandika kinaweza kuleta madhara makubwa sana bila cc kutarajia.
Mkuu kwa kuthibitisha ufaulu wako mzuri kwa muonekano umemaliza chuo. Tuwekee transcript yako hapa kama uko chuo tuwekee matokeo yako ya semister iliyopita tuelewe huo uwezo wako.
Wanajeshi wao wanausemi kuwa Jeshi sio shirika la mkonge ambalo inawezekana kila mtu anaweza kutoa taarifa bila kujali hadhira. Wewe umesukumwa na utashi wako bila kutafakari. JWTZ wanamafunzo ya kutosha kuuwawa askari wanaolinda amani haihitaji propaganda huko hawajaenda vitani.
Acha kutafuta habari na umaarufu haukusaidi jeshi ni taasisi iliyokamilika inataratibu zake. Naona wewe umekuwa msemaji wa jeshi. Ukiona vp omba nafasi ili upate urahisi wa kuandika correct info.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.