Recent content by MPadmire

  1. M

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Serikali imehujumu watoto wa nchi hii, imefuta BIMA toto. Mamilioni ya watoto wanapata tabu. Rudisha Bima toto NHIF
  2. M

    NHIF yakanusha kadi za wanachama kutotumika katika hospitali binafsi

    Hawa NHIF wamikurupuka na kufuta toto card ili Watoto wa kitanzania wafe. Kwa Nini hawakuandaa utaratibu kabla ya kufuta ghafla? Bla bla
  3. M

    Mkurugenzi Mkuu NHIF ni kati ya wanaomponza Ummy Mwalimu

    Wanaondoa toto card halafu wanaleta bla bla Walishindwa kwenda huko mashuleni kutoa elimu, na watoto wakajiunga kabla ya kufuta toto card? Sio wabunifu kabisa Waziri unakula matango pori
  4. M

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mngetoa elimu kwanza, na kutoa Transition period kabla ya kuondoka ghafla Bima Toto ya 5000. Watoto wakitanzania Kwa maelfu wanateseka
  5. M

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Badala yake Walifuta paap Watoto wa TANZANIA jamani
  6. M

    Wizara ya Afya Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kuondoka Bima Toto NHIF ghafla paap iliwaacha maelfu ya watoto katika shida kubwa. Wizara ilikurupuka Kwa maamuzi Bila elimu na utayarishaji wa Transition: Kufuta Bima Toto ya 50000 na kuweka ya 120000 iambatane na mzaxi ya 240000 ni ngumu Kwa masikini Watanzania. Pili: Maafisa wa NHIF...
  7. M

    Serikali yaipa NHIF miezi mitatu kuimarisha mfumo wa TEHAMA kuondoa usumbufu wa wagonjwa wa Bima

    TOTO afya kadi waliondoa, halafu Hakuna alternative. Hawakufanya maandalizi ya hicho wanachosema kuwa watoto wakate shuleni. Je, waliandaa utaratibu, ili kwanza watoto wapate Bima ndio waondoe TOTO Bima NHIF?
  8. M

    Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

    Muongo, apigwe ban Wiki iliyopita nilikwenda huko na sikuona, nilikuwa huko Dolly Estate Hakuna....jamaa anaota
  9. M

    Serikali yapiga Marufuku kuuza viwanja vya ukubwa wa 20 kwa 20

    Namuunga mkono Waziri Waziri ni mtekeleza sera, na kuwa na vision. Waziri amejua tatizo la slums linatokana na Nini! Hivyo ni juu ya watendaji wa Wizara kutekeleza vision. Kuna mtu ameuliza je masikini wataweza? Majibu ni kuwa wataweza! Halmashauri na manispaa mara nyingi Huwa na akiba ya...
  10. M

    Thadei Ole Mushi: Tukimaliza royal tour tujikite kutatua matatizo yetu ya ndani kwenye utalii

    Tour Operator akikata leseni, example June, ikifika Dec ime expiree Hata akikata October, ikifika Dec ime expiree
  11. M

    Waziri wa Utalii, una kazi kubwa sana

    Ilani ya CCM ni kuwa na watalii 5 Mil by 2025 Hata wapike data namna Gani, hawatafika hiyo namba. Muda ni huu, wa kufanya maamuzi magumu, na kutenda... Tayari Rais ameonyesha njia, ! Inatakiwa Waziri wa Utalii, akutane na wadau wa Utalii, Tour Operator, na TANAPA, halafu kuwe na uamuzi...
  12. M

    Vita ya Ukraine na Russia inaathiri Tanzania bara tu?

    Hakuna kitu, ni wizi tu wa EWURA Yule mbunge alisema kuna kikundi Cha watu Serikalini, na Wizara ya Nishati, Tpdc , EWURA...wanapiga Dili Mafuta yameshuka Bei, Russia anauza mafuta Bei rahisi mno... Na kununua mafuta Russia huwezi kuwekewa vikwazo, maana hata Ulaya wananunua gesi huko...
  13. M

    Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

    Ha haa, Thoba roo yangu Acha wewe!
  14. M

    Tunaomba Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu afafanue hizi pesa zimefanya nini?

    Kweli kabisa, Serikali inayo matumizi ya anasa.... Badala Serikali kubana matumizi, Serikali inakamua wananchi...mara Tozo, mara Kodi, mara Mafuta... Kila Lita Moja ya mafuta, Serikali unachukua Shs 800 . Kwa Nini Serikali isitoe hapo Shs 200 tu Kwa Lita? Halafu ikapunguza Posho za maafisa...
  15. M

    Tanzania tuna akiba gani nyingine ya kutusaidia tukipatwa na majanga Zaidi ya akiba ya chakula na akiba ya fedha za kigeni?

    Vita ya uchumi, ni kwenye Chakula na mafuta. Serikali ifufue TIPER, ni kiwanda Cha refinery ya crude oil. Tena TIPER ifufuliwe haraka mno, tununue crude oil, na kusafisha wenyewe, na kuweka akiba . Kila Kanda iwe na Reserve...IRINGA/Mbeya, Mwanza, Tanga, na Mtwara. EWURA ni waongo Wanasema...
Back
Top Bottom