KUIBA KURA ILI KUFANYA UFISADI KWENYE MALI ZA UMMA
KUFANYA UCHAWI ILI TUPATE UBUNGE
UCHAWA ILI TUTULIZE NJAA tulizoletewa na hao walio iba kura hapo juu
Serikali inafanya drama kwenye mambo ya kipuuzi kama Magoli, wasanii na anasa za maV8 mengi. Serikali ajiri waalimu wote...bila masharti. Halafu itoe seminar kuwabrash ...ili kuboresha ufundishaji. Machawa acheni upumbafu, hata wadogo zenu wanaumia
Watanzania wengi wana kashifu USA, nadhani ni wale Watz vilaza!
Sasa Kila nchi isaidiwe na rafiki zake kununua hizo ARV , China atupe sisi Watz
Maana hata manguo ya kichina yamejaa tz; mpaka mitumba ya kichina imefubaaa
Quality ipi ya bidhaa
Tanzania kumezagaa vitu vya kichina
Mpaka mtumba ni taka taka, tambara za kichina.
Watu wanaenda Nairobi na Kampala kuchukua nguo grade. Tumerogwa na wachina
Mchumi mmoja tu ameongea point...ni Professor Tibaijuka. Wengine ni chawa walioficha ID zao.
Shillingi ilivyoporomoka thamani, bidhaa zilipanda bei, mfumuko wa bei...
Je kuimarika thamani ya Shillingi, kuna unafuu kwenye bei za bidhaa za Kawaida kwenye soko ? Shillingi kupanda thamani...
Nakunywa DEW DROP na Hill water
Maji ya Kilimanjaro ni mazito, hayakati kiu...itawezekana chemical zimezidi
Inaweza kuwa chanzo chao cha maji, ni polluted sana hivyo wanajaza chemical kusafisha
Star link Elon musk analeta Satellite Kenya itakayotoa mawasiliano kwa LTE mobile phones, text, Internet, call.
Satellite 🛰 ikikaa kenya, hapo.
Subscription ni online...Tanzania tumelala
Nchi itakosa mapato
Source: NTV Kenya: Starlink plans to bring satellite internet direct to mobile phones
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.