Recent content by mp kwetu

  1. mp kwetu

    Lissu ameshamshinda Mbowe!!

    Km kuna mifumo kizuri ya uchaguzi anaweza kupigwa ila km ndo km mifumo ya Magogoni tusahau
  2. mp kwetu

    Nani anafuatilia Machozi ya wanyamapori katika mbuga ya Selous ambayo JNHPP imejengwa katikati yake?

    Bwawa limeishajengwa kwa aslimia kubwa na miradi ni km unaelekea kukamilika hivi mie nachoona wale watanzania ambao wamekumbwa na hili ni bora wakatafutiwa Maeneo ili wahamie maisha yaendeleee
  3. mp kwetu

    Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

    Binadamu huwa tunakisia jAmbo ila Mungu ana mipango yake
  4. mp kwetu

    Mbona majanga kila Mahali? Arusha nayo yakumbwa na mafuriko, magari yasombwa

    Poleni sana wanachuga aka wadudu Mungu atawasimamia
  5. mp kwetu

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Ushawishi wake kwa wanandoa unapotosha pakubwa najua kila lifanyikalo lina Shelia na katiba yake na tukiingia kisimani kuna vitabu vitakatifu je yeye hayo aliyafanya kwa mjibu wa maandiko au ni mihemko yake tu,je waumini atakawowaongoza nawe watamani waachiwe ili wakatimize ndoto zao
  6. mp kwetu

    Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

    Ninachokiona nchi sasa iende ikaboresha viwanda vyetu ili tupate bidhaa imara na bora ili tuache kutegemea maarifa ya nje.
  7. mp kwetu

    Huyu aliyeelekeza magari ya serikali kupaki saa kumi na mbili ana maana gani?

    Hapo wameipu tatizo la wizi wa mafuta kwa sababu dereva hatakubali kuliacha gari lina dizeli wakati wanapewa na serikal
  8. mp kwetu

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Vpi uchonge kinyago mwenyewe kisha kikutese??
Back
Top Bottom