Bwawa limeishajengwa kwa aslimia kubwa na miradi ni km unaelekea kukamilika hivi mie nachoona wale watanzania ambao wamekumbwa na hili ni bora wakatafutiwa Maeneo ili wahamie maisha yaendeleee
Ushawishi wake kwa wanandoa unapotosha pakubwa najua kila lifanyikalo lina Shelia na katiba yake na tukiingia kisimani kuna vitabu vitakatifu je yeye hayo aliyafanya kwa mjibu wa maandiko au ni mihemko yake tu,je waumini atakawowaongoza nawe watamani waachiwe ili wakatimize ndoto zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.