Effect ya mwanamke kuwa mkubwa mara nyingi hutokea wakati mnapoanzisha familia na kupanga kuzaa watoto kwani biologicaly mwanamke above 35 yrs huwa yupo kwnye risk nyngi ya kuzaa watoto wenye kasoro ila kwa umri wenu kama ndo mnakaribia kwenye ndoa mi cjaona shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.