Recent content by Mozz_Elly

  1. Mozz_Elly

    Msaada wazo la Biashara, mtaji Tsh 50,000/=

    Nifanyie mchakato maana kuagiza napo issue
  2. Mozz_Elly

    Msaada wazo la Biashara, mtaji Tsh 50,000/=

    Kama kichwa cha habari hapo juu naomba msaada. Nawazo la biashara nina mtaji wa 50,000.
  3. Mozz_Elly

    Usikate tamaa hata siku moja

    Kabsa kabsa 💪
  4. Mozz_Elly

    Usikate tamaa hata siku moja

    Kwenye maisha au safari ya mafanikio lazima kuwe na dhoruba, ukikata tamaa utakaa kwenye hiyo dhoruba ukijituma utavuka hiyo dhoruba na neema itakuja. Usikate tamaa maana ukikata tamaa Baraka zako zinapotea. Jitume kwa kazi unayoifanya Usiogope vikwazo na Maneno Ya Watu bali fanya kile moyo...
  5. Mozz_Elly

    Jitambue na jithamini

    Jitabue na jithamini, Kwa hali ya kawaida tu unaweza usielewe namanisha nn lakini kumbuka ya kuwa Mungu alivyo kuumba wewe tofauti kabsa na mtu yoyote hapa dunia hii inamaana gani Mungu ameweka kipawa ndani yako cha kipekee sana kabisa yaani hicho kipawa kama utabahatika kukijua hakika maisha...
Back
Top Bottom