Recent content by mozeh

  1. M

    Wale tuliopoteza muda shule kusoma tukutane hapa

    Inaumiza sana na kuchoma sana ukiwaza muda uliotumia kupambana na elimu, wazazi, jamii na ndugu wakitegemea meng toka kwako.. kuna muda nawazaga pengine mistake yang kubwa ilkua ni kufaulu form 4.. ningefeki form 4 pengne ningekua mbali sana.. umri unaenda, majukumu yanaongeka
  2. M

    Maswali ya interview (usaili) kwa kada ya ualimu yapoje?

    Tumeni link ya majina basi
  3. M

    Miaka 3 ya kifo cha Magufuli: Haya ndiyo mabaya yake katika utawala wake

    Umejuaje kama ni uongo au ni ukweli mkuu??
  4. M

    Askofu Gwajima akabidhi ambulance mpya Kawe

    Vp mmeshapelekwa Birmingham??
  5. M

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Necta wanazingua sana aisee.. imagine kuna dogo nlkua namkimbizia phyz na namba dogo alkua shallow sn mwisho wa cku necta kapga one ya nne.. nkabaki nashangaa japo nmempka mwnywe
  6. M

    Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

    Dah nampata huyooo kipnd yupo form five me nipo zang form two azaboy apo
  7. M

    Wanafunzi kufukuzwa kusoma somo la chemistry ilhali wamepata grade "C na D"

    Dah ila hii elimu aisee yani unakuja kutibiwa na dokta ambae ata wewe biology unaijua kushinda yy.. mtu ana D ya biology af anakua daktari aisee
  8. M

    Muda unakimbia, hii ndiyo AZANIA sekondari katika baadhi ya picha

    To awaken, strengthen and feed our hungry minds... atar sana nimepga apo 2015 mpk 2017 advance bonge moja la shule
  9. M

    Serikali haoni haja ya kutimua walimu wote waliounga unga elimu zao?

    Hii kada ina uozo mwingi sana aisee...nilkua namuona mpwayungu anawaonea walimu ila kiuhalisia walimu ni watu wa ovyo shule za dsm kila siku michango kuna shule kwa siku mtoto anaenda na 3000 et ya spidi test na chakula ukicheki anachofundishwa ni zero na hyo mitihan ni zero vile vile.. walimu...
  10. M

    Serikali haoni haja ya kutimua walimu wote waliounga unga elimu zao?

    Ntafanya ivo mkuu maana nna kama miezi 6 tangu niingie kwenye hii kada.. nmegundua hii kada inahitaji revolution kubwa sana
  11. M

    Serikali haoni haja ya kutimua walimu wote waliounga unga elimu zao?

    Bongo mwalimu anafurahi mwanafunz akifeli..
Back
Top Bottom