Wakuu mimi sasa nina 30yrs but uzito wangu ni mdogo sana nina 47kg na hauongezeki kabsa nina kama miaka 3 sasa uzito upo constant shida inaweza kuwa nini na nifanye nini uzito uongezeke??
Ni hatar sana boss ilifika mahali nkawa naskia maumivu makali sana ya moyo naimani kama nisingechukua maamuzi magumu mapema saa hii nisingekuwa napost jf
Aksante kaka Mshana kwa ujumbe mzuri .
Nilijifariji nimvumilie labda atabadiika Lakini ikawa kila siku afadhali ya jana,niliumia sana kumwacha aende siku za mwanzo lakini kwa sasa naona kama na recovery ingawa bado mawazo yananitesa nataman tungesikilizana na kuelewana naimani tungezeeshana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.