Sidhani kwa sababu sijawahi mpa jukumu la kununua chochote, cha wanangu na sehemu kubwa najihudumia na nahudumia wanangu katika hali ya ugumu ila najitahidi misimtegee mtu katika maisha yangu.
Kwake nilikuwa nahitaji faraja tu basi huduma zake alikwa anatoa mwenyewe kwa kupenda na si...
Nina miaka 34 sasa nikiwa mama wa watoto 3, hakika sina budi kukubali kuwa mapenzi hayanitaki tena hayanipendi kabisaa, japo niliyapenda na kuyapa thamani katika maisha ila nimeangua sina budi kuyaacha rasmi kuanzia leo.
Historia yangu kwa ufupi,
Mpenzi wa kwanza.
Huyu alinionesha mapenzi...
Jamani hii shule Mimi nilisoma LA kwanza mpaka LA saba naelewa hayo mabomba ya tuwasa yapo miaka mingi tulikuwa tuingia kwenye mabomba halafu wengine wanabaki nje wanasukuma yanabingirika rukiwa ndani ilikuwa in mchezo pendwa shulleni hapo au Yale yanayotoka juu ya kilima mile cha filter...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.