Recent content by moyafrica

  1. M

    Nani aliwashauri UKAWA kujiweka mbali na Nyerere?

    Jk si alisema ile ilikua ajali ya kisiasa
  2. M

    CCM kufunga kampeni zake kisasa zaidi

    Asante kwa ushaur wako
  3. M

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Duuuh Lazima boss alindwe! Ili asionekane mwongo(jk)
  4. M

    Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, sisi wanadamu tunakuwa wapi? (Education is power)

    Daaah! If only you could get the concept of pre-earth life, then life here on earth and life after death ! Tusingehaika na hizo mambo,God said to jeremiah the prophet in jeremiah 1:5"i knew you before you were born" Mungu tuliishi nae mbinguni kabla ya kuja hapa
  5. M

    Operesheni Zinduka 5 - Kwani Watanzania ni wao peke yao? Sote ni sote

    Ukiichagua ccm mwaka huu uende ukapimwe akil Ngoja tumpe mwizi mwenye genge la simba aongoze tumeshachoka na hao wasafi toka 1961
  6. M

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Wapiga kura waliojiandikisha million 24,waliohojiwa na twaweza 1848
  7. M

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Magufuli na Edward hawana uzoefu sawa wa kisiasa! Mm nilitaka waweke utafiti unaoendana na hali halisi
  8. M

    Ripoti ya Twaweza ya #SautiZaWananchi: Magufuli na CCM wang'ara dhidi ya wapinzani - Sept 22, 2015

    Ha haaaaaaa Kama rais angechaguliwa Leo magufuli angeshinda kwa 62% Lowassa 25% ha haaaa Wamechakachua
Back
Top Bottom