Recent content by Mowella

  1. M

    Tetesi: Ajali Lucky Vincent School: Uzembe, Tamaa, Ubadhirifu na Kutokujali Usalama wa Wanafunzi

    Nawapa pole wazazi waliofikwa na msiba. Nimesikia kuwa hats Rais wa Kenya Mheshimiwa Kenyatta alisimama kwa muda kwenye mikutano take ili kutoa salaamu kwa ajili ya watoto hao. Sisi wahusika tamko letu likoje.
  2. M

    Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar mpaka 2020 kwa jinsi alivyo imara na Jasiri kiuongozi

    Substitute ya ziro ni kufanya kazi kwa viwango usivyoweza kujipima ufanisi ili jamii ikuamini. Mfano enzi za Mrema alitumia Polisi ili aonekane anafanya kwa ufanisi kumbe alikuwa anatumia mabavu bila ufanisi. Ndiyo maana Wizara ya kazi ilimshinda.
  3. M

    Chuki ya UKAWA kwa Makonda ni kwa utendaji kazi wake

    Ondoa matumizi ya Polisi ndiyo upime utendaji. Usisahau enzi za Mrema kama Waziri wa Mambo ya ndani na Mrema Huyo huyo Waziri wa kazi. Utendaji ulikuwa wa tofauti sana.
  4. M

    Nani kasema wale waliomdhibiti Nape walikuwa ni askari?

    Kulikuwa na sababu gani ya kukodisha MTU kumzuia asishuke kwenye gari? Au alikuwa na ugomvi na nani hata akodishe watu wenye silaha. Nini kwa wakati huo kilikuwa kinaendelea upande wa Pili. Polisi wote wanavaa safe?
  5. M

    Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

    Usalama wa nchi no priority 1, Uchumi Priority 2 welfare ni Priority 3, Others Priority 4
  6. M

    Mwanahabari Jerry Muro ahoji uhalali wa tume ya Mhe. Nape Nnauye

    Pengine mauthui ya Tume hayajui. Taarifa ya Tume imetosha kutufungua macho sisi tuliokuwa tunahoji taarifa za mitandao. Pia imeonyesha umahiri na umakini wa Waziri Nape. Sijaona siasa kwenye ile taarifa.
Back
Top Bottom