Hyo haikua Mara ya kwanza Lowassa kukatwa hvyo cdhan kma kuna fitna kwa JK bt ypo mambo meng CCM wanayajua khs mheshimiwa ndo mana hawampi kiti cha urais. JK was very fair kumpa uwaziri mkuu cheo ambacho hakuna aliyewah kumpa na kma Nyerere angalikua hai cdhan kma angekipata
Sent using Jamii...
Ahsante sana kwa kulitambua hilo. Kisasi si kazi yako ni kazi ya Mungu. Kwa hyo we kaa kimya tu Mungu atakulipia kma kweli ulikua na haki katika kujipatia hayo mashamba wakati ukiwa waziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua unga wa pilipili manga changanya na maji ya moto kisha jikande kwenye uume kutwa Mara tatu kwa muda we siku 21 utaona jinsi utakavyokua na nguvu kma simba dume
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yaliyotolewa hpo mbona sioni msingi wowote wa kiimani zaidi tu ya kisasi na kukomoana kwamba eti kwa kua alikua hajatimiza baadhi ya vifungu Fulani basi kanisa nalo linagoma kutoa huduma kwake, enyi mafarisayo wanafiki. Yule mwanamke aliekamatwa akizini alipofikishwa mbele ya Kristo Ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.