Habar wana JF nilikuwa nahitaji kufahamu na kupewa taaluma juu ya mtu mwenye makengeza yanatibika! Na tiba yake ipoje? Na je huyo mtu anaweza akawarithisha na watoto wake?
Habari naomba msaha wa app gani ambayo itakua mzuri kwonye shughuri za graphic design amba nitaweza kutumia kwenye simu ya android bira pc msahada wenu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.