Ndugu zetu tanesco tumemlipia bibi yetu umeme ni mwezsasana mpka leo hawajamwekea akienda wanampa kalenda tunaomba msaada na bibi zetu wanakaa vijjin ni mbali na tanesco taarifa zake zipo hapo msaidien ,nikipata msaada natrus kushukuru pia nkikosa ntatafuta mbinu zaid
Sent from my Infinix X657B...
Najua kuna taratibu na zmeshafanyika mmetufanyia tathimin maana yake mtulipe au tulifikishe ngaz za juu maana mnakuja kila siku na story mpya na pesa kutoja hazina za kutulioa mshapewa kwa nn hamtulipi uliza swala kwa wahusika uje na majibu ya msing kama had mbunge wetu mnamuongopea au
Sent...
Tanesco malipo ya fidia ya mradi wa 400 KVAKINYEREZI MNATULIPA LINI FIDIA ZETU MLIKUJA MKASEMA WEEK YA MWISHO WA MWEZ WA SITA SASA NI MWEZ WA SABA NA UNAENDA KUISHA MMEMWAMBIA MBUNGE NA MWENYEKITI WETU KUWA MTAKUKA TAREHE 17 MWEZ HUU TUNATAKA MALIPO KAMA HAMUWEZ TUAMBIENI TUENDELEZE MAKAZ YETU...
TANESCO Mmekuja mwanzoni mwa mwezi wa sita mkasema mnatulipa wiki ya mwisho wa mwezi wa sita sasa ni tarehe 6 mwezi wa saba hamjatulipa na tumesubiri toka 2016.
Kama hamtulipi tupeni mamlaka ya kuendeleza maeneo yetu tumechoka, wiki ikiisha sasa wengine tutalilipoti kwa Rais Samia.
Nilikuwa naomba ajira ya ustawi wa jamii sasa sikujua kama ipo afya au ualimu nkachagua ualimu so nataka niedit iwe kwenyw afya nashindwa msaada kwa anayejua.
Tatizo vijana wanakurupuka sex siyo lazima uwe na mtalimba hata kibamia tu demu analizika na ukwl ni kwamba ikiwa na uume mkubwa dk ya mwisho mwanamke anaishia kuumia tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.