Recent content by Mountah

  1. Mountah

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    The best line ever😂😂
  2. Mountah

    JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa wanafunzi form six wanafaulishwa ina ukweli? Je taifa litakuwa na madhara gani huko mbeleni?

    kwa mantiki hiyo basi,we endelea kulia na hawa viongozi wanaotuandaa sisi kitaaluma. Mwanzoni nilimisunderstand kuwa unatutupia lawama sisi wanafunzi. Lakini mimi nitasimama pale pale,huo mfumo wa kuwaandaa wanafunzi kuja kuwa na uwezo wa kiuchambuzi haujawahi kuwepo katika nchi hii toka hapo...
  3. Mountah

    JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa wanafunzi form six wanafaulishwa ina ukweli? Je taifa litakuwa na madhara gani huko mbeleni?

    mimi hapo nimekuelewa mkuu. Lakini kwa upande wangu suala la uelewa halihusiani na mfumo wa elimu,akili mtu huzaliwa nayo tu. kama ilivyokua huko zamani kuna watu waliokua na uelewa mkubwa na wengine mdogo,basi hata sasa ni hivyo hivyo. Kuwa exposed na Technology sio jambo baya,matumizi ya AI na...
  4. Mountah

    JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa wanafunzi form six wanafaulishwa ina ukweli? Je taifa litakuwa na madhara gani huko mbeleni?

    sasa mkuu,si ni nyinyi ambao mumekuzwa kwenye "mifumo thabiti" ndio ambao mmetuletea sisi wanafunzi wa sasa mifumo ya kubebwa tuliyonayo sasa? Na kwa uelewa wangu toka zamani nchi yetu haijawahi kuwa na mfumo Competence based zaidi sana nyie mliosoma zamani ndio ambao mnadai kwa sasa wanafunzi...
  5. Mountah

    JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa wanafunzi form six wanafaulishwa ina ukweli? Je taifa litakuwa na madhara gani huko mbeleni?

    kama una kijana wako yupo Advance mwambie asisome akeshe kucheza eFootball hlf uone atafaulishwa?
  6. Mountah

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kugombana na hawa members wafuatao basi gusia hivi vifuatavyo

    sasa kama Cristiano sio Greatest of all time basi hiyo title haina mwenyewe
  7. Mountah

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Yani mm hapa mtaani ukitaja Jamii Forums watakuuliza ndo taasisi gani hiyo? Ipo chini ya wizara gani?😂 Marafiki zangu wengi(kama sio wote) ni Tiktok,IG,Snapchat. Sema siwalaumu since we are all Teenagers ndo wakati wao huu. Mm JF,Reddit,X ndo mitandao yangu. Wananiona wa ajabu kweli yan😂
  8. Mountah

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    I see my momma smile that's a blessin,.......
  9. Mountah

    JamiiForums Tanzania Challenge ya kuandika mstari mfupi wa wimbo bila kuutaja ni wimbo gan ili mwana JF amalizie mstari huo

    Paper chasing tell that paper look I'm right behind ya,.........
  10. Mountah

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Sina uhakika sisi watu weusi tumekuwepo kwa muda gani duniani ila as far as I know always tuna trail nyuma ya weupe. So technically yes
  11. Mountah

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    sasa wewe ni mfano wa mtu mwenye akili
  12. Mountah

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Mawazo yangu binafsi juu ya hii hali ni kua inasababishwa na mambo makubwa mawili; 1: Uumbaji wa mungu mwenyewe,yani kuwa hivi ndo the way tulivyoumbwa. DNA zetu ndo zipo hivi. 2: Mazingira,kwa waafrika(maana ndio asili ya weusi) huku Afrika ni bata sana. Hatuhitaji kufikirisha akili zetu...
  13. Mountah

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Easy,kila kitu kinaanza na akili. Na on average sisi uwezo wetu kiakili upo chini kidogo kulinganisha na wasia na wazungu
  14. Mountah

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDSM Dkt Ibrahimu Nzima: Kidato cha 6 wanaojiunga vyuo uwezo wao wa kuchambua mambo umeshuka

    "uwezo wa kuchambua/kuchanganua mambo" na kuja na maamuzi kwenye situation mbali mbali hii nidefinition ya akili,na akili haisomwi mtu huzaliwa nayo kama alivyosema Eli Cohen Binafsi ni muhitimu wa O-level mwaka jana na ninaendelea na A-level,my take juu ya hili suala ni kua mfumo wetu wa elimu...
Back
Top Bottom