Mimi mwenyewe nilishawahi kujiuliza hivyo. Ila nilichokuja kugundua ni kwamba kuna ulazima wa kuwa na version tofauti za bidhaa za toleo moja kutokana na utofauti wa mambo mbali mbali kama vile sera,vibali,sheria na mambo kama hayo.
Mfano kwenye simu,binafsi natumia huawei. Unakuta ile global...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.