kwa mantiki hiyo basi,we endelea kulia na hawa viongozi wanaotuandaa sisi kitaaluma.
Mwanzoni nilimisunderstand kuwa unatutupia lawama sisi wanafunzi.
Lakini mimi nitasimama pale pale,huo mfumo wa kuwaandaa wanafunzi kuja kuwa na uwezo wa kiuchambuzi haujawahi kuwepo katika nchi hii toka hapo...
mimi hapo nimekuelewa mkuu.
Lakini kwa upande wangu suala la uelewa halihusiani na mfumo wa elimu,akili mtu huzaliwa nayo tu.
kama ilivyokua huko zamani kuna watu waliokua na uelewa mkubwa na wengine mdogo,basi hata sasa ni hivyo hivyo.
Kuwa exposed na Technology sio jambo baya,matumizi ya AI na...
sasa mkuu,si ni nyinyi ambao mumekuzwa kwenye "mifumo thabiti" ndio ambao mmetuletea sisi wanafunzi wa sasa mifumo ya kubebwa tuliyonayo sasa?
Na kwa uelewa wangu toka zamani nchi yetu haijawahi kuwa na mfumo Competence based zaidi sana nyie mliosoma zamani ndio ambao mnadai kwa sasa wanafunzi...
Yani mm hapa mtaani ukitaja Jamii Forums watakuuliza ndo taasisi gani hiyo? Ipo chini ya wizara gani?😂
Marafiki zangu wengi(kama sio wote) ni Tiktok,IG,Snapchat.
Sema siwalaumu since we are all Teenagers ndo wakati wao huu.
Mm JF,Reddit,X ndo mitandao yangu. Wananiona wa ajabu kweli yan😂
Mawazo yangu binafsi juu ya hii hali ni kua inasababishwa na mambo makubwa mawili;
1: Uumbaji wa mungu mwenyewe,yani kuwa hivi ndo the way tulivyoumbwa. DNA zetu ndo zipo hivi.
2: Mazingira,kwa waafrika(maana ndio asili ya weusi) huku Afrika ni bata sana. Hatuhitaji kufikirisha akili zetu...
"uwezo wa kuchambua/kuchanganua mambo" na kuja na maamuzi kwenye situation mbali mbali hii nidefinition ya akili,na akili haisomwi mtu huzaliwa nayo kama alivyosema Eli Cohen
Binafsi ni muhitimu wa O-level mwaka jana na ninaendelea na A-level,my take juu ya hili suala ni kua mfumo wetu wa elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.