Mawazo yangu binafsi juu ya hii hali ni kua inasababishwa na mambo makubwa mawili;
1: Uumbaji wa mungu mwenyewe,yani kuwa hivi ndo the way tulivyoumbwa. DNA zetu ndo zipo hivi.
2: Mazingira,kwa waafrika(maana ndio asili ya weusi) huku Afrika ni bata sana. Hatuhitaji kufikirisha akili zetu...
"uwezo wa kuchambua/kuchanganua mambo" na kuja na maamuzi kwenye situation mbali mbali hii nidefinition ya akili,na akili haisomwi mtu huzaliwa nayo kama alivyosema Eli Cohen
Binafsi ni muhitimu wa O-level mwaka jana na ninaendelea na A-level,my take juu ya hili suala ni kua mfumo wetu wa elimu...
Mimi mwenyewe nilishawahi kujiuliza hivyo. Ila nilichokuja kugundua ni kwamba kuna ulazima wa kuwa na version tofauti za bidhaa za toleo moja kutokana na utofauti wa mambo mbali mbali kama vile sera,vibali,sheria na mambo kama hayo.
Mfano kwenye simu,binafsi natumia huawei. Unakuta ile global...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.