Recent content by Mount Everest

  1. M

    Zanzibar: Marufuku Wamasai kutembea na SIME na RUNGU

    Wamekupokonya dili inaonekana.
  2. M

    Mmiliki wa klabu ya Chelsea, Roman Abramovich awekewa vikwazo na Uingereza

    Kwa vikwazo hivi wanategemea mabilionea hawa watumike kumshauri Putin aache shambulia Ukraine ili mali zao zibaki salama? Au ni kumwonea perege kwa kosa la kambale?
  3. M

    Bila Rais Samia Suluhu, Freeman Mbowe angeozea jela. Upinzani fuateni sheria

    Siasa zenye tija sasa hivi ni kuipata #KATIBA MPYA na kazi inaendelea. Tuondoe mamlaka ya watawala kuwaweka ndani watu wasio upande wao na kuwatoa wakitaka. Ili haki na sheria zisimame zenyewe kuamua badala upendeleo na maagizo ya watu. Kuwa na wazo mbadala si kukiuka sheria wala kutotii mamlaka.
  4. M

    Ikulu, Dar: Rais Samia akutana na Freeman Mbowe

    Tanzania tunahitaji haki ijisimamie yenyewe. Kuondoa huu uwezekano wa watu fulani kuweza kuwaweka korokoroni wengine kwa sababu na maslahi yao na pia kuwatoa. Haitoshi pongezi na shangwe ziimbwe kwa haya. Yapasa kuwa na haki iliyo huru na kweli. Uadilifu ni msingi.
  5. M

    Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    TCU wanaverify vyeti kwa wale waliopata vyeti vya taaluma nje ya nchi.
Back
Top Bottom