Kweli Taifa Hili Linawatu Wapuuzi Sana .
Yani Mambo Yanayohitaji Utaalamu Halafu tumpeleke Standard Seven Yule Kisa Tu Anapata Nafasi Ya Kuongea Bungeni???
Ifike Mahali Watanzania Tujitathimini Na Kujitambua Vitu Tunavyohitaji Na Kuvipigania..
Mkuu Hivi Ni Lini Umehama Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo ( CHADEMA ) ???
Mkuu Wewe Sio Ndio Ulitangaza Nia Ya Kugombea Ubunge Jimbo la Karatu Kupitia Chama Chako Pendwa Cha CHADEMA...
Kama Propaganda Zimeisha Basi Jitahidi Kuingia Chimbo Ili Kuleta Propaganda Zenye Mashiko.
Mwenyekiti Wetu...
Naona Mmejaribu Kila Aina Ya Figisu Figisu Kwa Mh Lissu So Baada Ya Kuona Mmeshindwa Ndio Mmeamua Kuja Na Hii Ya Kujitenga na Serikali..
Mlichokuwa Mnakiomba Mmekikosa Sasa Hivi Mmeamua Kuja Kivingine Ila Kwa Mtazamo Wangu Mmechelewa Sana Mana Uchaguzi Ni Kesho Tu Hapo
Mkuu Samahani Acha Tu Watu Wakuze Mambo Ya Udaku Mana Hata Anko Magu Mwenyewe Ni Mdau Mkubwa Wa Mambo Ya Kimbea Mbea yani Ni Mfatiliaji Nzuri Tu Wa Kipindi cha SHILAWADU (Shirika la Wambea Duniani)
Me naona Shilawadu Haina Tofauti sana Na Udaku so Tumlaumu na Rais Wetu kwa Nini Anapenda...
Kupewa Sifa Katika Dunia Hii Mara Nyingi Huwa Ni Adimu Kweli Kweli So Ukijiona Kuwa Unafanya Jambo Nzuri Katika Jamii Na Hakuna Anayeona Mchango wako Basi Yakupasa Kutafuta Namna Ya Kujisifia Ili Kutengeneza Tension Kwa Watu Wanaokuzunguka...!!!
Na Ndio Hiki Kitu Alichokifanya Mkuu Lizaboni...
Mkuu Nimefurahi Kukuona Tena Leo Hapa Na Nilikuwa natamani Nijue Kuwa Ulipatwa na Nini.....!!!!
Nikiona Post Yako, Barafu, Pasco na Gentamycine basi huwa Nafarijika kweli Mana Najua Kabisa ni Wazee wa Nondo
Kwa Hiyo Huyu Mzee Manake Ametafuta Kiki Leo daaaaaaah Maisha haya hayako fair kabisa si Bora Angesema tu kuwa alishaondoka Chadema Tangu Mwaka 2013??????
Uzuri Wa Jamii Forum Huwa Inaishi so Hapa Ukifukua Kaburi Tu Unakutana na Skull
Mkuu Nimepitia Post Zako Ila Nasikitika Kukupa Pole Tu Mana Hueleweki Kama Unapingana Na Mtoa Mada Ama Unapingana na TBC...!!!!
Kwa hiyo Mkuu Nilikuwa Naomba Unifafanulie kama Hutojali Ni Kipi Unasapoti hapo kati Ya Mtoa Mada Na Tbc Ambao Waliorusha habari Ya Trump (Uzushi)
Ushauri.
Pia Kabla...
Ila Nakupendea Kitu Kimoja Tu...
Unajua Kuunganisha Nukta So Kwa Mtu Asiyekufahamu Ni Ngumu Sana Kukuelewa.
Unajua Kuumba Uwongo ili Watu Wadhani Kuwa Ukweli Na Ukweli Kuwa Uwongo Kwa Lugha Rahisi Manake Wewe Ni Kizabizabina.
Kwako Wewe Mtu Anayeongea Ukweli Huwa Ni Adui Yako So Nashangaa Kwa...
Halmashuri mpya ya Ubungo imetoa msaada wa vitu mbalimbali zikiwamo khanga na sabuni katika Hospitali ya wilaya iliyopo Sinza Palestina ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku Wanawake duniani.
“Msaada huu una thamani ya zaidi ya Sh2 milioni, na ni jitahada za kuunga mkono siku wanawake ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.