Mouber
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 216
- 216
najikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu Sofia Simba.
Paskali
Ni Kwamba Sofia Simba Ni Mtu Wa Kubebwa Tu so Unataka Kumaanisha Kuwa Muda Wake Wa kubebwa Umeisha Sio??????
Ahsante sana Mzee Wangu
najikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu Sofia Simba.
Paskali
Hii ilikuwa ni vita kati ya Ukweli na ubatili, ubatili ulishinda sasa ndio wameona ubatili huo na kuubatilisha kuelekea kwenye Ukweli japo sometimes ubatili huweza kufuatiwa na ubatili mwingine.Ni Kwamba Sofia Simba Ni Mtu Wa Kubebwa Tu so Unataka Kumaanisha Kuwa Muda Wake Wa kubebwa Umeisha Sio??????
Ahsante sana Mzee Wangu