Napenda kumpongeza sana Rais Samia kwa maamuzi aliofikia ya kuongeza mishahara ya wafanyakazi wa serikali Mungu akubariki.
Aidha napenda kuwakumbusha kwamba kusahau ni kwa binadamu, wastaafu waliotumikia serikali na kujenga misingi yake, baadhi yao bado wako hai. Pesheni zao ni ndogo sana na...
Sina haja ya kukunafika kwani unaniletea ugali wewe adi nikunafiki? Mnafiki ni wewe unaempenda Kikwete kwa mahaba aliyemkata Lowassa uku ukijifanya pia kumpenda Lowassa
Wewe umesema kwamba asilimia hazibariki kwa kura chache sijapinga hilo bali nalo taka unielimishe mimi nisiyeelewa ni iweze kwenye " random transmitted results" kura zizidiane kwa milioni 1.4 tangu sa 9 usiku tukiacha mambo ya asilimia?
Si wanasema Uhuru kaimarisha demokrasia ivo hata hili la kuiba kura ni halali ivyo 2020 wasilalamike kuibiwa kura.( nashabikia chadema ila si kumuunga mkono Kenyatta)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.