Recent content by moto wa kifuu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba

    Hakuna mwenye uhakika wa kuzika mwenzie.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa: Kipaumbele cha Hayati Rais Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania

    Nadhani huyu alimaanisha alivyosema Dr Slaa 2010. Kwamba alisema "standard g" si umeme.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rufaa ya kina Mdee mbele ya Baraza Kuu dhidi ya Kamati Kuu CHADEMA: Kicheko kwa G19, Kilio kwa kina Mbowe

    Ndio wanataka waruhusiwe kwenda bungeni kuendelea kutetea hayo uliyosema.
  4. M

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Pole na samahani sana wananchi wa Uganda

    Nadhani wale wameshakamilisha mambo ya umeme, barabara, maji n. k., hivyo wanayo pesa ya kutosha kutoa posho hizo.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Bunge likutane haraka kuondoa ukomo wa mgombea Urais Tanzania

    Huyu usihangaike naye, hamaanishi anachosema maana yuko upande wako.
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

    Hafanyi siasa anatuma salam. Kasema atatuma na za mwaka mpya.
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

    Mwenyewe kasema sikukuu hii inahusu na moyo wa kusamehe. Sasa wewe mbona unawatenga wengine! ?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Pole sana Ally Bananga, sisi ndio makamanda wa CHADEMA, unavuna ulichopanda na iwe fundisho

    Hawatashitakiwa? Punda ni mifugo ya wenyewe.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Ulaya (EU) watoa msaada wa bilioni 84 kwa Tanzania kuisaidia kusambaza umeme Vijijini na kwenda Zambia

    Ee mwenyezi Mungu, gusa moyo wa kijana huyu, ulainishe na ponya majeraha yake. Amen.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau

    Pengine hakukimbia bali shoka lilipelekwa kwenye mti mgumu zaidi.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Polepole fuata sheria za kazi, saa 3 usiku siyo muda wa kazi

    Nadhani na yeye ana familia. Ni vyema kuwa na moyo wa kujitolea kwa manufaa ya taifa. Tuwaombee wasichoke.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona

    Akimteua mtu kisha huyo mtu akabadili dini amtengue?
  13. M

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo kushiriki SUK: Maoni ya Tundu Lissu

    Mgeandamana kupinga kukamatwa kwa viongozi ingesaidia kuleta hamasa.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

    Dini yake inakataza vinyongo. Asiposamehe hatasamehewa.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

    Kuna wale masikio ya kufa hayasikii dawa.
Back
Top Bottom