Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Current visitors
Verified members
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Members
moto wa kifuu
Recent content by moto wa kifuu
M
Phillip Mpango sawa lakini Charles Kimei hapana, labda Mwigulu Nchemba
Hakuna mwenye uhakika wa kuzika mwenzie.
moto wa kifuu
Post #171
Mar 30, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Dkt. Slaa: Kipaumbele cha Hayati Rais Magufuli kilikuwa kuwainua Watanzania
Nadhani huyu alimaanisha alivyosema Dr Slaa 2010. Kwamba alisema "standard g" si umeme.
moto wa kifuu
Post #135
Mar 25, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Rufaa ya kina Mdee mbele ya Baraza Kuu dhidi ya Kamati Kuu CHADEMA: Kicheko kwa G19, Kilio kwa kina Mbowe
Ndio wanataka waruhusiwe kwenda bungeni kuendelea kutetea hayo uliyosema.
moto wa kifuu
Post #422
Dec 31, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Pole na samahani sana wananchi wa Uganda
Nadhani wale wameshakamilisha mambo ya umeme, barabara, maji n. k., hivyo wanayo pesa ya kutosha kutoa posho hizo.
moto wa kifuu
Post #8
Dec 31, 2020
Forum:
Ugandan News and Politics
M
Bunge likutane haraka kuondoa ukomo wa mgombea Urais Tanzania
Huyu usihangaike naye, hamaanishi anachosema maana yuko upande wako.
moto wa kifuu
Post #72
Dec 31, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Uchaguzi 2020
Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu
Hafanyi siasa anatuma salam. Kasema atatuma na za mwaka mpya.
moto wa kifuu
Post #138
Dec 26, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Uchaguzi 2020
Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu
Mwenyewe kasema sikukuu hii inahusu na moyo wa kusamehe. Sasa wewe mbona unawatenga wengine! ?
moto wa kifuu
Post #137
Dec 26, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Pole sana Ally Bananga, sisi ndio makamanda wa CHADEMA, unavuna ulichopanda na iwe fundisho
Hawatashitakiwa? Punda ni mifugo ya wenyewe.
moto wa kifuu
Post #78
Dec 25, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Umoja wa Ulaya (EU) watoa msaada wa bilioni 84 kwa Tanzania kuisaidia kusambaza umeme Vijijini na kwenda Zambia
Ee mwenyezi Mungu, gusa moyo wa kijana huyu, ulainishe na ponya majeraha yake. Amen.
moto wa kifuu
Post #22
Dec 15, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Mwita Waitara: Jembe lililopindua meza kibabe, CHADEMA hawatasahau
Pengine hakukimbia bali shoka lilipelekwa kwenye mti mgumu zaidi.
moto wa kifuu
Post #120
Dec 13, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Polepole fuata sheria za kazi, saa 3 usiku siyo muda wa kazi
Nadhani na yeye ana familia. Ni vyema kuwa na moyo wa kujitolea kwa manufaa ya taifa. Tuwaombee wasichoke.
moto wa kifuu
Post #82
Dec 13, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Baraza Jipya la Mawaziri 2020: Hizi ndizo kasoro kuu 3 ninazoziona
Akimteua mtu kisha huyo mtu akabadili dini amtengue?
moto wa kifuu
Post #352
Dec 8, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
ACT-Wazalendo kushiriki SUK: Maoni ya Tundu Lissu
Mgeandamana kupinga kukamatwa kwa viongozi ingesaidia kuleta hamasa.
moto wa kifuu
Post #167
Dec 7, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Dini yake inakataza vinyongo. Asiposamehe hatasamehewa.
moto wa kifuu
Post #204
Dec 7, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
M
Rais Dkt. Mwinyi amteua Maalim Seif kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Kuna wale masikio ya kufa hayasikii dawa.
moto wa kifuu
Post #202
Dec 7, 2020
Forum:
Jukwaa la Siasa
Members
moto wa kifuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back