Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 7,479
- 12,160
Mbowe amewahi kuyaacha majina ya viti maalumu yaliyopitishwa na kamati kuu ya chama na kuweka yake kwa maslahi yake binafsi and nothing happened.Bananga alifanya kazi nzuri sana na Lissu, historia itamuandika vyema kwa hilo.
Ila sasa naye kategwa na mfumo kwa sababu mfumo umerusha fupa kwa mkewe. Laiti naye angekuwa hajarushiwa fupa bila shaka angeelewa logic ya chama kukomaa na wale madada 19.
Wale madada wameshiriki kubypass vikao halali vya chama na kwenda kujiapisha, Hilo ndo kosa lao kubwa!. Hakuna chama makini kinachoweza kuvumilia wanachama wanaopoka mamlaka ya kamati kuu ya chama husuika kwa maslahi binafsi!
Mpaka hapo CDM siyo chama makini according to you.