Recent content by Moto mingi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje ili kuikinga mifugo yangu dhidi ya mlipuko wa magonjwa?

    Watenge wanyama kulingana na Aina yao mfano ng'ombe ,mbuzi, kondoo , mbwa n.k hawa wote wanaweza pata ugonjwa wa kimeta yaani 'anthrax' usipo kuwa kuku hivyo watenge wanyama.
  2. M

    JamiiForums Tanzania SoC03 Nguvu zaidi iwekezwe kwenye kilimo

    Thanks 🙏
  3. M

    JamiiForums Tanzania Idadi ya wataalamu wa kilimo Tanzania

    Wataalamu wa kuhudumia mimie
  4. M

    JamiiForums Tanzania SoC03 Nguvu zaidi iwekezwe kwenye kilimo

    Maana ya neno kilimo Kilimo ni shughuli muhimu ya uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara. Huu ni mchango mkubwa kwa jamii ya Tanzania kwa sababu zaidi ya asilimia 75 ya ajira zote zinategemea kilimo na zaidi ya asilimia 50 ya Pato la taifa hutokana na sekta hii ( kwa mujibu wa tovuti kuu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Idadi ya wataalamu wa kilimo Tanzania

    Jamani Tanzania ina wataalamu wa kilimo wangapi na ni kwa mujibu wa bajeti ya mwaka gani
  6. M

    JamiiForums Tanzania SoC03 Mchango wa kujenga teknolojia shindani nchini Tanzania

    Kweli imekaa vizuri?
  7. M

    JamiiForums Tanzania SoC03 Mchango wa kujenga teknolojia shindani nchini Tanzania

    1.Historia ya ukuaji wa teknolojia Teknolojia ni utumiaji wa maarifa ya sayansi kwa ajili ya kubuni, kuunda, kuboresha na kutumia zana, vifaa, mifumo, na michakato ya kufanyia kazi ili kuchangia maendeleo katika maisha ya binadamu au katika utendaji wa shughuli zozote za kibinadamu kwa uharaka...
Back
Top Bottom