Kuna haja ya kutofautisha nafasi za mawaziri na wabunge.Wanahitaji kufanyiwa usaili kabla ya kuteuliwa,tatizo letu nafasi zote watu wanachaguliwa kisiasa.What do you expect.
Zitto na Slaa!!tuache utani...bado bwana mdogo,kwanza anakurupukia vitu na he is not patient ambayo ni sifa kuu ya kiongozi yeyote.Ila anafaa kuwa kiongozi wa vijana sio nchi bwana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.