Serikali inayoopa maendeleo ya wananchi wake ni dhaifu, hapa ndo naanza kupata picha Kwann Kikwete aliogopa sana lisu kua mbunge alikua tayar kukataa kura za urais ili lisu asishinde,acheni tuambiwe jinc muungano ulivyo wa kulazimisha na wa kimagumashi
Elimu sio Chet wala Chet sio elimu, bali ni uwezo wa MTU binafsi wa kuusaidia umma,nyerere alikua na degree ngapi Zaid ya maprofessor wa sasa hapa nchini? Je wametumiaje PhD zao kuusaidia umma zaid ya kupiga dili? Acheni kutuaminisha elimu ndo uongozi,ila naamin elimu ni sifa ya nyongeza ktk...
Na alaaniwe atakae jadili hoja hii kwa ushabiki,ushabiki ukizidi huleta upofu na ukiziwi, Tumia akili zako vizur tafakari huyo Kiongoz wa juu kabisa kutoa kauli kama hyo, Inamaana kahalalisha majibizano ya aina yeyote ile bila kuangalia sheria inasemaje, ndugu yangu nchi inaongozwa kwa miiko na...
Pamoja na Maelezo yako marefu ambayo naamini c ya Kwel, jaribu kuzitendea haki akili zako kwa kuzifikirisha, Ni waziri kivuli yupi anapewa pesa kwa ajili ya kufuatilia wizara husika?
Jino kwa jino wasira anataka kupima upepo wa kisiasa ila kakosea angejipima na mm ndo kidogo tungelingana , hapo ni bajaji kujaribu kuigonga scania kwa nyuma, huyo wasira kakataliwa hadi kwenye familia yake
Hawana kazi wanasubiri mwisho wa mwezi waka pokee mishahara hewa, mishahara hewa haitaisha mpaka ccm iondoke madarakani coz wahusika ni watoto wa vigogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.