1. Surrender hati manispaa: andika barua kwa mkurugenzi ya kurudisha hati lengo likiwa ni kutoa fursa ya kugawa kiwanja .
Mchakato utaanza hapo manispaa, kwenda kwa kamishna wa ardhi wa mkoa mpaka kwa msajili wa hati wa mkoa ambae atakupa document inaitwa deed of surrender, hapo mchakato wa...
Mali ya urithi ukisharithi inakuwa ni personal property haina ubia na mke wala mtoto, hivyo ww ndio mwenye maamuzi ya mwisho.
Haihesabiki kama ni matrimonial property kufanya mke na watoto kudai chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.