Hii ni dharau kubwa sana kwa Waislam. Hivi kwa nini huwa mnawadharau sana Bakwata?!!! Hata kama mtu hukubaliana na bakwata ndo uwadharau kiasi hicho? Hivi kweli mnaiona bakwata haijielewi kiasi hicho eti ije itetee mikataba ya kuuza mali za wananchi (waamini) wake?!!!!! Ili iweje?
Hivi nyie wajinga kwa nini mnatujaz8a server kwa maswali ya kipuuzi? Aliyetamka hayo maneno ni lissu, cha ajabu mnakuja kutuuliza ushahidi sisi huku jf!!!! Kwa nini msimhoji huyo aliyesema awape ushahidi? Au mnaogopa kuanikwa zaidi na maufisadi yenyu?
Ndo mvumilie chuk kutoka kwa watanzania maana alitubague sisi wengine, akutuumiza alivopenda huku akiwapendelea na kusema nyie msiguswe. Hatutakaa tuzisahau chuki zake na manyanyaso dhidi yetu. Hata hii JF alitamani kuiua!!!
Lisu lazima angejua, si na yeye alikuwa anamfuatilia mbaya wake?!! We ufukuliwe marisasi yote yale afu ukae kimya tu?!!!
Mkuu ukijifanya unujua huu na wenzio wanaujua ule...heshimu watu.
Wee mchunga ng'ombe huo ubongo wako ni wa matope au kinyesi cha ng'ombe?!!!!
Wapinzani ni wachache bungeni ila pamoja na uchache wao wanautumia vizur kushauri bungeni kipi sahihi, na ndiyo kazi yao.
Sasa wewe unasema wakatae
Wakataa vip wakat mishahara hiyo inapitishwa na masukuma gang kwa...
Hili ni swali la kijinga ambalo huulizwa na maccm hasa hasa masukuma gang kutaka kuhalalisha wizi na dhulma. Wabunge wa upinzani wakiuliza kwa nini bunge linajilipa mishahara mikubwa wakati waalimu na madaktari wanaugulia utapiamlo wa mishahara utaskia wabunge masukuma gang yanauliza eti kwa...
Kama unatumia njia kharamu kupata jambo fulani, hata kama hilo jambo linapatikana, na ni nzuri kias gani, bado upatikanaji wa jambo hilo hautahalalisha njia khramu zilizotumika kulipata...the end does not justfy the means.
Hata almasi ni nzuri sana, inang'aa sana, lakini hujawahi kusikia kuna almasi za damu?!!! Kumbuka hata pesa pamoja na utam wake lakin kuna pesa za damu pia ambazo kimsingi ukiwa nazo ni laana inayoua vizazi hadi vizazi, hadi kizazi cha nne. Bahati ya dikteta ni kuwa familia yake, akiwemo mama...
Nimemjua siku nyingi ila sikumbuki lini aliteka watu, kuvunjavunja watu kwa marisasi, kukatakata watu mapanga, kuchukua hela za watu benki, kutukana watu wakalale na mavi yao nk nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.