wadau nakumbuka siku ya kwanza darasa la kwanza nilipewa sh 40 zote nlitumia kula sambusa maana vilikuwa vitu vigeni kwangu .....daah stasahau siku hiyo........vipi kwenu wakuu ilikuwaje siku hiyo?//
Mimi ni kijana nina miaka 22..
Mpaka nafika umri huu sijawahi kufanya mapenzi ..nimekuwa nikiishia kuwataman madem kila siku ila kuwaambia naogopa.
Vipi wadau hii ina madhara kweli? Na kama yapo ni madhara yepi?
Msaada tafadhali
Eti wadau,
Mimi ni kijana nina miaka 22 nimehitimu kidato cha sita hivyo najliandaa kuingia chuo hivi karibuni. Sijawahi kufanya mapenzi mpaka umri huu, nimekuwa mwoga sana kwa wanawake, hivyo naishia kuumia tu.
Vipi wadau nifanyeje, pia kuna madhara gani nisipofanya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.