Licha ya hamu ya Wazanzibari kutaka muungano uvunjike lakini hilo haliwezi kutimia siku za hivi karibuni, suala rahisi kwao na ambalo litapooza kidonda cha Muungano ni kupewa nafasi ya kugombea urais kupitia CCM
Mambo yanazidi kuwa mambo habari hii sasa iko magazetini bado tu utekelezaji, Kimsingi sina matatizo na uwekezaji lakini yaliyomo ndani humo ni kama uuzaji wa nchi kwa kweli
Kwa mujibu wa mahojiano yatakayorushwa Jumatatu na ITV, Maalimu Seif Sharif Hamad (Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar), amesema yuko tayari kujiunga na Chama Cha Mapinduzi, ikiwa tu atapewa nafasi ya Uenyekiti. Na kwa mujibu wake kwa sasa hakuna jambo la Msingi ambalo serikali ya CCM inafanya...
Kitendo cha Mheshimiwa Sugu kuandaa tamasha la Bure nyumbani kwake siku ambayo kuna Tamasha la Fiesta, na historia ya ugomvi wake na wamiliki wa Clouds ambao ndiyo waandaaji wa FIESTA, ni kuwagawanya wananchi kwa sababu binafsi na kujimaliza kisiasa. Najua kisiasa anaweza kutengeneza sababu za...
"Nendeni nchi jirani au kwingine mkaangalie, mimi niliwahi kuingizwa ndani mchana kwenda kulala kutokana na hali mbaya ya usalama. Hapa kwetu Idara inafanya kazi kubwa, nchi imetulia," alizidi kuikingia kifua na kuwararua wakosoaji.
Katika kuonyesha jinsi idara hiyo inavyofanya kazi kwa...
Nimesoma maoni yenu wadau nimeelimika sana na niwashukuru sana sana kwa mioyo yenu ya kutokuwa wanyimi wa taaluma (taalimu kwa mujibu wa Prof Sengo) lakini bila shaka nyote mmeona kutokana na maelezo kupingana ya wadau mbalimbali mantiki ya hoja hii. Ahsanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.