Haulazimishwi mkubwa wangu, kama kigezo cha wewe kusoma ni kutokuwa na makosa katika uandishi basi endelea kutafuta. Pia nikwambie tu kuwa kutafuta makosa katika uandishi ni ajira ya mtu, so kitu hicho kinatokea sana. Kazi njema.
*MAOMBI YA SCHORLASHIP - CHINA*
>Kwa wale ambao mngependa kujiunga na masomo ya masters na PhD nchini China kwa mwaka wa masomo 2017/18 yaani kuanzia mwakani mwezi wa tisa ni vyema kuanza maandalizi yako sasa. Application zitaanza mwezi wa 10 mwaka huu hadi mwakani mwezi wa 3 tarehe 30.
>Watu...
Salama wadau,
Nimetumia Distros kadhaa kama openSuse, Fedora, Mint, nk ila kwenye wired network zinashindwa kupata address, nkiweka manually inasema connected ila kunakuwa hakuna flow yoyote ya data.
Tatizo nini labda?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.