Omondi hufanya kazi kulingana na mazingira. Huwezi Kuna mengi aliyoigiza sio kuhusu tz tu.
Mfano aliigiza how to Donald Trump je Tramp ni m tz? Akija tz lazima atafanya uchekeshaji WA mada kuhusu tz ili kila mmoja aelewe na afurahi but akirudi kwao in fact hutumia English mostly. Pia hii...
Habari ya siku kuu wadau. Naomba simu hizo hapo juu. Niko na offa ya laki Moja tu 100000
. Kama simu aina hio angalau Moja yupo ipo njoo faster Mbagala tuzichange. Please usichelewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.