Recent content by moreen richadson

  1. moreen richadson

    Mama Uwoya amkana Dogo Janja, asema haitambui ndoa yao na mwanae ni mjane

    Kwa hiyo ndoa Ya kiislam inafuta zingine zilizopo kisheria? Kwa hiyo unaweza kumzulumu muislam Mke na kwenda kufunga nae ndoa kwenye ukristo na muislam akafanya Hivyo kwa mkristo na isiwepo shida kisheria? Kwa ufahamu wangu mdogo kisheria ndoa yoyote iliyofungwa ktk dini yoyote ile...
  2. moreen richadson

    Mama Uwoya amkana Dogo Janja, asema haitambui ndoa yao na mwanae ni mjane

    Well, hoja Ya kwanza ni kuhusu tamaduni zetu na sio sheria , Baraka za wazazi zinahitajika Hoja Ya pili ni kisheria, unaweza kufunga ndoa nyingine huku ile ya kwanza haijavunjwa?
  3. moreen richadson

    Mama Uwoya amkana Dogo Janja, asema haitambui ndoa yao na mwanae ni mjane

    Amesema kuwa anazungumza Kwa minajili Ya kisheria? Anawakilisha tamaduni zetu za kiafrika ,ndio maana mzazi anapomkataa mchumba ni tatizo harusi inakua ngumu kufanyika unless Ulazimishe Kwa nguvu, pia uwoya ameingia mkataba Mpya huku ule alioingia mwanzo na ndikumana haujavunjwa , uwoya...
  4. moreen richadson

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Hi guys Kuna huyu mwenye nyumba wangu karibu miezi 2 sasa amekua akinipa lift asubuhi wakati wa kwenda kazini, mimi ni mgeni eneo hili, ni miezi nadhan mitatu sasa tangu nihamie hapo, niseme tu ukweli kuwa, nimekuja kupanga hapo baada ya kutengana na Mr wangu kwa Muda wakati mgogoro...
  5. moreen richadson

    Nina watu watatu, nataka kuachana na mmoja

    Guys habari zenu, Tangu nimejiariwa hapa kazini nimekua na urafiki na boss wangu na ndie alienileta hapa kazini, sina mapenzi nae kutoka moyoni, ni sababu ya hii kazi ndio maana nipo nae ameshawahi kunitisha mara kadhaa kuwa nikimwaga mboga anamwaga ugali, hata hivyo sina mpango huo bado...
  6. moreen richadson

    Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Hi guys, niaje? Ni miezi miwili sasa tangu nimeacha kazi kampuni ya zamani, na sasa nipo kwenye kampuni nyingine, hii kazi mpya nimetafutiwa na Boss wangu ambae ndie mkuu wa idara yetu, nimepanda cheo kidogo, kule nilikuwa Karani na huku kupya mimi ni Supervisor. Sasa huyu Boss alieniingiza...
  7. moreen richadson

    Wanaume hatudanganyiki, tunawachora tu wanawake na ujanjajanja wao

    Mbona kulia lia kumekua kwingi sasa hivi?
  8. moreen richadson

    Mume anakuruhusu uzae na mwanaume mwingine, huu ni mtego ama?

    Iwapo una mme mmeishi wote kwa Muda flani, kutokana na mme kupoteza uwezo wa kukuhudumia unaamua kuachana nae, anakubembeleza mwendelee, unakubali, hata hivyo huduma inaendelea kuwa ya kusuasua sana, baadae inagundulika pia hana uwezo wa kuzalisha mwanamke, Kwa kuwa hayo matatizo mawili ni ya...
  9. moreen richadson

    Kanikuta bar nakunywa zangu bia kaanzisha fujo

    Yah alijua ana matatizo lakini alificha Sasa hivi huu ndio mgogoro mkubwa unaotusumbua Ana wivu kama nn hataki kabisa hata niongee tu na mtu wa jinsia tofauti hata kama ni ndugu
  10. moreen richadson

    Kanikuta bar nakunywa zangu bia kaanzisha fujo

    Am sorry, i do apologize Ni yeye ndie alianza kuni provoke thats why nikajikuta nimemjibu hivyo
  11. moreen richadson

    Kanikuta bar nakunywa zangu bia kaanzisha fujo

    Kwa majibu haya msg yangu kwako imekua delivered, imekugusa penyewe Next time be a gentleman ulivyoanza kunitukana ulidhani nitakuangalia tu Shule huwa mnaenda kusoma nn? Ujinga Mtu ameweka uzi wake halaf unakimbilia kutukana halaf ulitegemea nikuchekee? Lazima nikutukane pia thats what...
  12. moreen richadson

    Kanikuta bar nakunywa zangu bia kaanzisha fujo

    Sina hakika kama mm nina mazuri
  13. moreen richadson

    Kanikuta bar nakunywa zangu bia kaanzisha fujo

    Mm ni Catholic ila tulifunga ndoa kwenye moja ya hizi pentecostal churches ambako Mr anasali
Back
Top Bottom