Habarini wana jf. Samahani naomba kujua kati ya hz course zitolewazo hapo sua ni ipi ambayo ina future zaid kuliko zingine kulingana na hali halisi ya maisha ya sasa.. Course hzo n general agriculture, land use planning, agronomy, irrigation eng.
umenikumbusha mbali sana na ukweli mtupu, chuo cha st joseph tawi la songea kilivo bora hata shule za msingi za bush huko lakini kwenye website yake wameweka ghorofa ambalo ni chuo kilichoko dsm hasahasa college of information tech ukifika utajua kuwa tz kuna vyuo bwana.
pole sana mkuu. ulichosema namkumbuka mwalimu wangu mmoja aliwahi tuambia cku moja class kuwa, shida mnazozipata shuleni hapa ni kutokana na umaskin wa wazaz wenu hivyo mnatakiwa kusoma kwa bidii ili na watoto wenu baadae wasije laumu kuwa tunapata taabu kutokana na umaskin wa wazaz wetu, take...
ni kweli elimu ya sasa kila mtu anasoma huku anawaza kuajiliwa tu hakuna anaewaza kujiajili au kuajili wengine. Na hii ni kutokana na mfumo mbovu wa elimu ambao kweli ni tegmezi.
Tujifunze kwa msanii nick wa pili aliyeimba*form six,degree hadi masterrr staki kaziiii nataka nitafutwe na...
nilituma email chuoni kuwataarifu but week iliyopita na kuhusu joining instructions haijaelezea kwa watakaochelewa zaid ya kusisitiza kuwa usipokuwa na michango kamilifu hupokelewi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.